sio tetesi, habari ndiyo hiyo!Kwahiyo mnatetesi chadema inashinda urahisi?
sio tetesi, habari ndiyo hiyo!Kwahiyo mnatetesi chadema inashinda urahisi?
Umeme umekatwa eneo la kigamboni.
vipi kwingineko?
wakuu kama umeme umerudishwa mtutaarifu.
BADO TUNAPANDAA
TUNAPANDA MILIMAAAAH!
Ha ha ha you made my day broda, una kipaji ambacho bado hujakigundua~uchekeshaji ha ha ha!...halafu tunaambiwa uchumi unakua ilhali nchi ipo gizani. tanzania kwa mazingaombwe lol
Wito wangu ni kwamba CHADEMA waweke bajeti ya taa za chemli na tochi za kutumika kwenye zoezi la uhesabuji wa kura endapo umeme utazima ghafla.
Ahsante Baba-Enock kwa kutuhabarisha