kwa hali hii ya mgao usio na kicha wala mkia katika nchi yetu.kwa nini basi tusikubali tu tutangaze km ni kivutio cha utalii.naona tutapata mkwanja wa nguvu kufidia wale twiga wa loliondo.
nawasilisha bajameni
yan unaakili wewe ile mbaya mana nilikuwa ninafikiria hvyo hvyo kuishaur selikar ya CCM kwel mana MGAO WA UMEME Tanzania tunaweza kufanya moja ya utalii kwel kabisa upo sawa saf sana wazo zur sana
Hae! Umenikumbusha mwaka jana jk alienda marekani akaona jenga halina umeme akacheka akamwuliza obama kumbe hata nyie mna mgao wa umeme. Obama akamwambia huo ni ubalozi wa tanzania, jk akachoka. Inaonekana ubalozi wa tz kule ni kivutio kwa wamarekani. Naunga hoja. Haa haa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.