Dah yaani mamaako kakurithisha akili za maiti mwanae asee,ivi unaliwa na mboga gani siku izi we mkundugu anguKwasasa Boss mpya anawekeza zaidi kwa wapigakura wake...nyie fisi wa arusha subirini mpaka munguwenu rowasa awe rais
Kwasasa Boss mpya anawekeza zaidi kwa wapigakura wake...nyie fisi wa arusha subirini mpaka munguwenu rowasa awe rais
Tanesco dodoma acheni kutudharau wananchi wa CHAMWINO takribani wiki sasa ikifika mida ya saa kumi na moja na nusu asubuhi mnatukatia umeme mpaka saa moja jioni na tatizo hamsemi kama ni mgao tujue kama nimatengenezo tujue na matengenezo gani yanachukua wiki nzima?kama ni mgao kwanini mtupe usiku ina Maana utumulikie kwenda chooni tu? Tupeni umeme mchana bana tuufanyie kazi mnakera sana.
Kwasasa Boss mpya anawekeza zaidi kwa wapigakura wake...nyie fisi wa arusha subirini mpaka munguwenu rowasa awe rais
ndo maana yake,next time wajipangeKwasasa Boss mpya anawekeza zaidi kwa wapigakura wake...nyie fisi wa arusha subirini mpaka munguwenu rowasa awe rais
Unawazia wenzako tu kufukuzwa. Ungekuwa wewe ungekuwa tayari kufukuzwa?
Kwa TANESCO kukaa kimya naamini lwamba huu mgao Arusha ni wa kutengeneza, Sijawahi sikia viongozi wa TANESCO wakizungumzia huu mgao,
kwa staili hii TANZANIA YA VIWANDA LABDA KIZAZI CHA 10 KUTOKA SASA.