Mgao wa umeme mikoa mbalimbali

Mgao wa umeme mikoa mbalimbali

IV mbn kama serikal imeshafail?jana wameurudisha saa nane usiku na saiz saa 2 wameshaukata yaan utasema hamna serikali watu wanajifanyia tu wanavyotaka mi nimechoka hii hali uvumilivu una kimono bana ccm wanatuchukulia poa sana wadanganyika huku wap wakipiga ela mingi na maisha poa sana yako kwao tuu sisi hatustahili
 
Huku Morogoro Kilosa mgao ulianzaga mwez wa 6 had leo haujaisha
 
Tabora napo walirudisha saa 8 usiku,saa 1asb washakata,ila bado nina imani kubwa sana na magufuli.hata Roma haikujengwa kwa siku moja
 
morogoro ndio kero, unakatwa alfajiri saa mbili usiku unarudi saa nne usiku unakatwa tena, kero, kero, nchi yasingia gizani
 
Baadhi ya sehemu Morogoro na Tabora Umeme unapatikana masaa manne kwa kwenye saa 24,Ukikatika saa kumi na mbili kasoro Asubuhi unarudi saa saba Usiku,sio Jumamosi wala Jumapili!
 
Kwa staili hii ya migao ya umeme Tanzania ya Viwanda ni ndoto za mchana, Mgao una Mwaka sasa tangu uanze na hakuna dalili za mgao kuisha na hari inazidi kuwa mbaya sana,
Kwa hali hii viwanda vidogo Labda viendeshwe kwakutumia steam engine.Kweli 54 years after independence tuna lia lia mgao wa umeme yaani wa taalamu wa u meme n chi hii wamefika mwisho wao wa kufikiri.
 
Magufuli ataleta viwanda kwa kutumia umeme wa power benki. Kweli CCM ni ile ile
 
Mi naomba kama kunawabunge wanasoma hapa wakienda bungeni dodoma wapeleke hate ya dharura kuhusu hali ya umeme na wakikishe wanang'oka na tanesco mimi inaniuma sana baada ya miaka 54 ya uhuru tunalialia kuhusu umeme au tanesco waende germany wakajifunze umeme mbadala wa jua na upepo.
 
Hapa moro washakata saivi ndo mpaka jioni hiyoooo .

Kwa mtindo huu hatuttafika mbali kabisa
 
Kuna nn leo Arusha?na ni lini Tanesco Arusha patatumbuliwa au maigizo ya majipu ni daslaam tuu?
 
Kuhusu suala la umeme arusha Mi nadhani hakuna haja ya kulalamika wala kunung'unika ishakuwa wimbo wa taifa wao wakate wasikate watajua wenyewe tusi!.
 
Back
Top Bottom