Shepherd
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 2,428
- 1,659
Hapana mmetutesa vya kutosha tangu june alafu unakuja na maelezo yenu hapa mpaka watu tunaisi tunasomeshwa namba kisa tu arusha ni mkoa wa upinzani.Kama mnakata mchana mzima kwanini msiwashe kuanzania saa 1 usiku mpka saa moja asubui siku inayafuata,Umeme auwaki mchana auwaki usiku alafalu unakuja na maelezo hapa yako ebu jiulize wanaouza samaki na bidhaa za kukaa kwenye majokofu wafanyeje,kweli na elimu yenu akumfundishwa plan b when plan a fail,kweli kweli unaweza kuja na majibu rahisi hivyo au mnafikiri kila mtu anauwezo wa kumili generator na kulihudumia sasa si bora mseme kuna mgao then tuamie kwenye solar energy tuache kuwategemea kabisa au mnataka watalii wanaokuja wakirudi makwao waseme huku kuna shida ya umeme kitu ambacho kinaleta impact kwenye uchumi.Mimi binafsi naumia sana na huu mgao sana sana sana.SHIRIKA LA UMEME TANZANIA (TANESCO)
Maelezo kuhusu Hali ya Umeme kwa baafhi ya Maeneo Mkoa wa Arusha.
Shirika la Umeme linapenda kueleza kile kinachoendelea mkoani Arusha kama ifutavyo; Eneo la Olasiva, Kwa kuanzia tunamalizia, mradi wa Olasiti Meckson school wiki hii. Hivyo wateja wa eneo Hilo watapata umeme mzuri. Pia miradi wa Sanawari Kati na shangalai uko Kwenye hatua za mwisho kufikia tarehe 15.12.2015 itakuwa imekamilika. Mradi wa kuboresha, huduma Olasiva uko 40% hivyo mwisho wa mwezi huu, tunaimani kuukamilisha.
Kumalizika kwa miradi hapo juu ambayo tayari imeanza, ulitatupa nafasi kuanza miradi ya Olasiti Kati, Ngaramtoni, na Engosheratoni. Ni matumaini ya mkoa tatizo la umeme mdogo litakuwa historia ndani ya miezi mitatu ijayo. Asante.