Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vipi,
Watu wa Arusha kwa ujumla wameifuta CHADEMA - Arusha wakaweka kijani kibichi ambayo ni ishara ya neema.
Ni takriban wiki sasa Arusha maeneo ya Sakina, Mianzini, Sanawari, Sekei, Kimandolu, Ngulelo n.k wanakata umeme alafu wanarudisha jioni hakuna taarifa yeyote.
Mwananchi ana haki yakupewa taarifa kwasababu kuna watu wanategemea umeme kuingiza kipato na TRA hawataki kujua kama umeme umekatika au lah.
TANESCO tunaomba kama mnakata umeme mtoe taarifa ili Wananchi wajipange namna ya kukabiliana na hali hiyo.
Watu wa Arusha kwa ujumla wameifuta CHADEMA - Arusha wakaweka kijani kibichi ambayo ni ishara ya neema.
Ni takriban wiki sasa Arusha maeneo ya Sakina, Mianzini, Sanawari, Sekei, Kimandolu, Ngulelo n.k wanakata umeme alafu wanarudisha jioni hakuna taarifa yeyote.
Mwananchi ana haki yakupewa taarifa kwasababu kuna watu wanategemea umeme kuingiza kipato na TRA hawataki kujua kama umeme umekatika au lah.
TANESCO tunaomba kama mnakata umeme mtoe taarifa ili Wananchi wajipange namna ya kukabiliana na hali hiyo.