Antetokounmpo
JF-Expert Member
- Feb 5, 2020
- 1,242
- 1,996
Rais wa Tanzania....ni kweli kayasema haya??Mgao wa maji umesababishwa na ng'ombe kunywa maji mengi- samia suluhu
Rais wa Tanzania....ni kweli kayasema haya??Mgao wa maji umesababishwa na ng'ombe kunywa maji mengi- samia suluhu
Daaaahhh hatar😇🤣😅Bibi anaupiga mwingi mpaka anapitiliza kwao
We jamaa hilo bowser hata room za flow moja haitoshi.. Sea Cliff unaijua au unaisikiaWaache visingizio bowser zipo zinaranda randa mjini kutafuta wateja View attachment 2016688
Bowser zipo nyingi na trip zinaweza kufanyika nyingi nyingiWe jamaa hilo bowser hata room za flow moja haitoshi.. Sea Cliff unaijua au unaisikia
Hapana,kwa kweli aheri ya musa kuliko firauni.Tunammisi Magufuli.
Kwakweli hata mimi nimejiuliza au hiyo barua wameandikiwa??Hawawezi kuwa serious! Wangechimba visima wakaweka mtambo mkubwa wa reverse osmosis hata wa 50M tu maji yanatoka baridi kama ya mvua tu!
Wanapump maji yanapenya kwenye filters yanatoka baridi safi kabisa. Ningekuwa na mtaji ningetafta mafundi nikaagiza mitambo hii na kuwafungia raia wanaoteseka na visima vya chumvi kupata maji safi.
Hela ingepatikana na kuachana na hawa wapuuzi wa dawasco. Hela ya bills bora kununulia luku ya kupandisha maji
5 star hotel wanalia liaKwakweli hata mimi nimejiuliza au hiyo barua wameandikiwa??
Kuna mstari mwembamba wa uafrika na laana.Nchi za kiarabu ni jangwa lakini hawana uhaba wala tatizo la maji, wanategemea maji ya bahari na visima na ndiyo jangwa. Huku kuna mito, maziwa, mabwawa, bahari lakini bado swala la maji ni tatizo. Afrika ni afrika tuu, haitabadilika kamwe.