Mgao wa Escrow: Mbona kodi anadaiwa mama Tibaijuka tu, wengine vipi?

mwembemdogo

JF-Expert Member
Feb 28, 2016
2,282
1,252
Nimekuwa nafuatilia suala la Fedha za ESCROW. Hivi majuzi Mamlaka ya Mapato nchini TRA imemtaka aliyekuwa Waziri wa Ardhi Mama Anna Tibaijuka alipe Kodi ya fedha alizopewa Na Rugemalila.Watu waliopewa fedha hizo ni watu wengi lakini inashangaza kuona anayetakiwa kulipa Kodi ni Mmoja.Tunaitaka TRA iwatake wahusika wote Na mgao huo walipe kodi kwani no fedha za Umma.
 
Ni zawadi kama wewe ulivyopewa dinner set kwenye harusi yako. Uliilipia kodi dinner set?
 
Umenikumbusha mama Tibaijuka alivyotolewa nduki na wanakijiji wake,nusu aumie baada ya kujikwaa


Mi naona ni sawa tu adaiwe peke yake maana yeye ndio ana mdomo sana
 
Back
Top Bottom