Wakat nipo sekondar nilikuwa domo zege zaidi ya mzee wa mbususu mzabzab ,nilipata dawa ya mapenz nikaitumia na ikafanikiwa ila baada ya muda mrefu kupata dawa ambazo siyo,hata wamasai ni wahuni tu dawa zao hazikunisaidia
Siku mtoto wa watu namfanyia hakusoma siku nzima macho yalikuwa kwangu mpaka tunaondoka jioni