Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dar afariki

Kirokolo

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2008
Posts
281
Reaction score
215
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo jijini Nairobi.

Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali.

Pumzika kwa amani Dr. Kahama.
 
Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Judith Kahama.
 
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo asubuhi na mwili wake unepelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili na mumewe Dr. Maro kuhifadhiwa. Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali. Pumzika kwa amani Dr. Kahama.

Ahsante kwa taarifa chinga..
 
ni kweli Mkuu ila wakati mauti yanamkuta alikuwa anatibiwa Nairobi nchini Kenya na hadi sasa hivi mipango bado hajajulikana ntawajuza
 
Taarifa tulizopokea toka ofisi ya Mkuu wa Nkoa wa Dar es Salaam zinasema kuwa Mganga Mkuu wa Mkoa Dr. Jufith Kahama amefariki dunia asubuhi ya leo asubuhi na mwili wake unepelekwa hospitali ya Taifa Muhimbili na mumewe Dr. Maro kuhifadhiwa. Walio karibu na familia ya Dr. Maro watupe uhakika wa taarifa hizi tafadhali. Pumzika kwa amani Dr. Kahama.


mkuu unaandika kama upo kw baiskeli
 
naomba kujua Dr Maro ni huyu Daktari bigwa wa moyo ambaye ana clinic yake hapa posta? nipeni taarifa ya ufahamu wakuu
 
Is this Politics ???????????????????????????????????????????????????
Mods, Mko weekend ama !!!!!!!!!!!!!11
 
Is this Politics ???????????????????????????????????????????????????
Mods, Mko weekend ama !!!!!!!!!!!!!11

if detect something wrong you should report
jf inapokea post karbu 8000 Per day mod Hawawezi kuziona zote. Mbona tunawatesa sana tukumbuke nao ni bnadamu sio marobot
 
RIP Mganga mkuu wa mkoa wa Dar. Hivi majukumu yake yalikuwa ni yapi maana ndo anasikika leo baada ya kufa
 
Back
Top Bottom