Habari wanajamvi,
kuna mganga jirani yangu amefariki gafla.
Utata umekuja kwenye msiba hapa ambapo mke wa mganga amestaajabu na kuzimia mara kwa mara baada ya wanawake watatu tofauti abao huyo mke wa mganga hakua anawajua wamekuja kila mtu na kwa muda wake na kuanza kumlilia mganga kwa kumtaja as mme wao.
Wengine wana watoto wamefanana na marehemu kiasi kwamba hauwezi kumkataa kama si mtoto wa mganga.
Kuna tetesi hapa kua wengine wawili wanakuja na watoto waliozaa na mganga.
Marehemu kaacha mengi yaliyokua siri yake sasa ndo yanajulikana.
kuna mganga jirani yangu amefariki gafla.
Utata umekuja kwenye msiba hapa ambapo mke wa mganga amestaajabu na kuzimia mara kwa mara baada ya wanawake watatu tofauti abao huyo mke wa mganga hakua anawajua wamekuja kila mtu na kwa muda wake na kuanza kumlilia mganga kwa kumtaja as mme wao.
Wengine wana watoto wamefanana na marehemu kiasi kwamba hauwezi kumkataa kama si mtoto wa mganga.
Kuna tetesi hapa kua wengine wawili wanakuja na watoto waliozaa na mganga.
Marehemu kaacha mengi yaliyokua siri yake sasa ndo yanajulikana.