Kiulizni ni hatari sana na haipaswi kusafirishwa hivyo, kwani kunaweza kutokea njama za kumtorosha kwa kuliteka Basi.
Pia hairuhusiwi kuingia na Silaha aina yoyote ndani ya Basi la Abiria, na hao Askari bila shaka kama walikuwa hawana bunduki huenda walikuwa na Pistol ambapo ni hatari sana.
Walipaswa kwa safari ndefu kama hiyo kutumia usafiri wa binafsi na siyo basi la abiria.
MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!