Mfungo na adha zake

Mfungo na adha zake

Mm nafikiri wangeweka sound proof msikitini ili sauti isisikike, pia swala la hao wapiga ngoma huku kwetu wamewekeana mipaka, ukiingia kwy mipaka ya mtu mwingine ni vita.
mbona makanisa hayajawekewa bell proof katika kengele?
 
Ukishamlazimisha mtu kusikiliza adhana,tena ya mahubiri, ushamlazimisha mtu kufuata dini.

Kama dini hailazimishwi, adhana isipigwe misikitini kiasi cha kuwafikia watu ambaohata si Waislamuna hawataki kuwa Wasilamu.

Kwao ni kelele za kero tu.

Karaha tu.

Mnawalazimisha kitu ambacho hawakitaki.
Na wakristu zile kengele!
Nao wanawalazimisha waislamu,nao pia waache basi.. Au wasemaje
 
Back
Top Bottom