Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
huu mwezi huwa najinenepeaje? mialiko ya kufuturu kila kona ya nchi...
ikulu wanafuturisha lini jamani?
Ikulu tunafuturisha tarehe ileile, kama ya mwaka jana.
huu mwezi huwa najinenepeaje? mialiko ya kufuturu kila kona ya nchi...
ikulu wanafuturisha lini jamani?
Astaghafullilah ndg Asprin!
Funga ni kila kitu mpaka tendo la ndoa,ila tendo hlo ni halali na ruksa kwa mkeo/mumeo ambaye umefunga nae ndoa.
Na si halali wala huruhusiwi kufanya tendo hlo kwa mwanamke/mwanaume ambaye hujafunga nae ndoa,
Maana saumu yako Haitahesabiwa kwa Allah.
Na tunasema ni Batili.
Afazali asee... zile hela za ofa za biya na mishakiki kwa mabaamedi wangu wapenzi Ashura na Fatuma zitarudi kwa mai waifu wangu.
Mfungo Hoyeeeeee!!!!
Tufunge mara ngapi???Aseeee sikulijua hilo.... Asprin kuja fasta twende kwa shekhe atufungishe ndoa ya mkeka ili saumu yetu isiwe batili na ihesabiwe
Hivyo eh? Ngastuka. Cha msingi ni kuwapotezea na kuhamishia shughuli kwa Eliza.Yupi???? Aafu we jaribu kuwapa ofa Fatuma na Ashura uone kama watakataa
So leo ni vunja jungu sio? Nani angependa tuvunje wote?
come this way shemeji...........
come this way shemeji...........