Mfumuko wa bei ya magari Tanzania

Mfumuko wa bei ya magari Tanzania

msakhara

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2019
Posts
297
Reaction score
405
Habari zenu wakuu...

Nimekua nikiperuzi websites maarufu kwa mauzo ya magari kutoka Japan yaani SBT na Be Forward...
Naona gari zimekuwa na bei kubwa sana ukicompare na kipindi kifupi kilichopita.

Yaani hizi ndogo mf. Allex, IST, Honda Fit, nk zote zinachezea kuanzia 17M hadi 22M wakati zilikua around 13M hapo mwanzo.

Sasa kununua ka-baby walker kwa 20M ni kiti kinatatiza kidogo, kinauma 😄. Ni wapi au namna gani ninaweza kupata bei rafiki/realistic kwa ubora mzuri? Nini kinaweza kuwa chanzo cha mfumuko huu?

Akina Mad Max na wazoefu wengine mnaweza mkawa na hints kwenye changamoto hii
 
Point 1. Kuagiza gari 1 binafsi ni hasara
Point 2. Kuna siri ambazo wafanyabiashara ya magari hawawezi kukwambia na sio wote wanaozifahamu ndio maana unakuta mtu binafsi ukiagiza mfano Rumion sbt unaipata kwa 20M anaejua hizo mbinu za siri anakuuzia mpaka 22M asiejua 24M
Point 3. Kupanda na kushuka kwa Dollar kuna Influence
 
Point 1. Kuagiza gari 1 binafsi ni hasara
Point 2. Kuna siri ambazo wafanyabiashara ya magari hawawezi kukwambia na sio wote wanaozifahamu ndio maana unakuta mtu binafsi ukiagiza mfano Rumion sbt unaipata kwa 20M anaejua hizo mbinu za siri anakuuzia mpaka 22M asiejua 24M
Point 3. Kupanda na kushuka kwa Dollar kuna Influence
Gari yoyote utakayoagiza mwenyewe utaokoa si chini ya 5M
 
Habari zenu wakuu...

Nimekua nikiperuzi websites maarufu kwa mauzo ya magari kutoka Japan yaani SBT na Be Forward...
Naona gari zimekuwa na bei kubwa sana ukicompare na kipindi kifupi kilichopita.

Yaani hizi ndogo mf. Allex, IST, Honda Fit, nk zote zinachezea kuanzia 17M hadi 22M wakati zilikua around 13M hapo mwanzo.

Sasa kununua ka-baby walker kwa 20M ni kiti kinatatiza kidogo, kinauma 😄. Ni wapi au namna gani ninaweza kupata bei rafiki/realistic kwa ubora mzuri? Nini kinaweza kuwa chanzo cha mfumuko huu?

Akina Mad Max na wazoefu wengine mnaweza mkawa na hints kwenye changamoto hii
Mnang'ang'ania kumiliki magari Dar wakati kuna mwendo kasi. Acheni kuendekeza na kupenda anasa zembe.

adriz de mbusii
 
Tukiacha kuongezeka kwa CIF (bei ya kuuzia Japan), huku kwetu kodi imeongezeka sana tu. Kila gari limeongezeka kodi mwaka 2026, mengine hadi 4 Million.
😳😳 watatuua hawa kenge, wao wapo kwenye ma viete ya kodi zetu na bado wana msamaha wa kodi kibwena wakitaka kuagiza magari binafsi..

Sisi hatuna viongozi tuna LAANA
 
😳😳 watatuua hawa kenge, wao wapo kwenye ma viete ya kodi zetu na bado wana msamaha wa kodi kibwena wakitaka kuagiza magari binafsi..

Sisi hatuna viongozi tuna LAANA
[/QUOTE
Hadi kufika 2030 hii nchi itakuwa ngumu Sana kuishi, kumiliki gari itakuwa ni ngumu zaidi
 
Kadri zinavyopanda ndivyo wanahamasisha watu wazidi kuiba ili kununua magari. Naona kabisa hadi mwaka huu unaisha tunaweza kuimaliza namba E
 
Back
Top Bottom