Mfumuko wa bei wapanda kwa asilimia 1.4

Mfumuko wa bei wapanda kwa asilimia 1.4

huku uswahilini kwetu -:
SUKARI 2600/= kwa 1 Kg
SEMBE 2400/= kwa 1Kg
DONA 2400/= kwa 1Kg
MCHELE 2400/= kwa 1Kg
MAHARAGE 2600/= kwa 1 Kg
NGANO 2400/= kwa 1Kg
 
Huku pande za moshi unga kilo moja ni 2200, sukari kilo moja ni 3000 na mchele kilo moja ni shilling 2000 hebu tupia na wewe bei ya huko ulipo
wewe humu JF hatutakiwi kuujana kwa majina halisi na wapi tulipo, acha mtego , janja ya nyani kwisha gundua!
 
KILO YA SEMBE DUKANI KWA MANGI

Mswahili ukimuambia akienda dukani kwa Mangi kununua sembe atalipa kodi ya ununuzi lazima akuone adui.

Ni hivi wakuu, unaponunua kilo moja ya sembe kwa shilingi elfu mbili unajuaje kama bei halisi ya kilo ya sembe ni shilingi mia tano na umelipa elfu moja na mia tano za kodi.

Si bora mtu akuambie kilo ya sembe ni shilingi mia tano na kodi shilingi mia lipa shilingi mia sita.
 
Mkuu Zeni2017 pambana tu na hali halisi...
Kasema tutaishi kama mashetani
 
Kama vipi lima mahindi yako mkuu
 
KILO YA SEMBE DUKANI KWA MANGI

Mswahili ukimuambia akienda dukani kwa Mangi kununua sembe atalipa kodi ya ununuzi lazima akuone adui.

Ni hivi wakuu, unaponunua kilo moja ya sembe kwa shilingi elfu mbili unajuaje kama bei halisi ya kilo ya sembe ni shilingi mia tano na umelipa elfu moja na mia tano za kodi.

Si bora mtu akuambie kilo ya sembe ni shilingi mia tano na kodi shilingi mia lipa shilingi mia sita.
Hii ni indirect tax kwny consumer goods amby mtu unalipa bila ww kujua.
 
upload_2017-5-26_14-21-8.png


upload_2017-5-26_14-27-10.png


Tulinganishe kati ya awamu ya nne na ya tano bei ya bidhaa muhimu z vyakula zimepanda kwa kiasi gani?

Je hali ikoje eneo unaloishi kuhusiana na kupanda kwa gharama za maisha?

Je zinaendana na ukuaji wa uchumi?
 
Back
Top Bottom