kindume
Senior Member
- Feb 25, 2017
- 110
- 54
Wapi hiyo mkuu unaniofya sanaMdau mahindi yameshuka sana. Fanya hima uuze haraka kabla debe halijafika sh 4500
Wapi hiyo mkuu unaniofya sanaMdau mahindi yameshuka sana. Fanya hima uuze haraka kabla debe halijafika sh 4500
Kwa SASA haijulikani mkuulast week kwa arusha gunia lilikua 95000/=
Niletee hizo gunia zote kwa elf 50000kwa gunia nipo Arusha mjini

Nimekupata thanksMkuu lete hapa MOSHI kisado ni 5000/5500 piga hesabu kwa gunia utapata bei yake.
Mkuu samahani hii in being ya SASA au wiki iliyo pita??Mwanza. Kisado kimoja ni 5500 km upo vizuri. Peleka mwanza mkuu.
Bei gani mkuuYalete hapa KAHAMA mji wa Masumbwe nikupe hela
11,000 kwa debe x6 = 66,000 kwa gunia x10 =660,000/=Bei gani mkuu
Huu sio muda mzuri wa kuuza mahindi kibiashara kwani wakulima wengi kipindi hiki washaanza kuvuna.
Labda kama unauzia shida vinginevyo mahindi yako yawekee dawa ya kudhibiti wadudu usubiri Kuanzia Nov-Dec huko.

Ya sasa mkuuMkuu samahani hii in being ya SASA au wiki iliyo pita??
Wapi Dodoma nilete nami gunia zanguleta dodoma mkuu,debe 22-25,
Huu sio muda mzuri wa kuuza mahindi kibiashara kwani wakulima wengi kipindi hiki washaanza kuvuna.
Labda kama unauzia shida vinginevyo mahindi yako yawekee dawa ya kudhibiti wadudu usubiri Kuanzia Nov-Dec huko.
Wapi Dodoma nilete nami gunia zangu