Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,730
- 531
Wapendwa wana JF,
Najua kuna threads mbili zimo humu kuhusiana na Mfumuko wa Bei moja ikiwa imeanzishwa na Invicible na nyingine ikiwa imeanzishwa na Invisible. Hata hivyo nimeona ziko very general kwa hiyo nimefikiria kuwa ni vema tukawa na Thread ya kudumu kwa jina la "MFUMUKO WA BEI MWEZI HUU" ambayo kwayo tunaweza kufanya updates kila siku/wiki/mwezi na kila baada ya nusu mwaka tufanye tathmini ili tuweze kuangalia wapi tumetoka, wapi tupo na wapi tunakwenda.
Mwezi huu (Desemba 2007) vitu vifuatavyo vimepanda bei na nimegundua baada ya kufanya shopping wiki hii. Mimi mkazi wa Arusha nimegundua haya:-
1. Bei ya Gesi (LPG) ya kilo 40 imepanda kutoka shilingi 64,000/ (mwezi Julai) hadi shilingi 73,000/- mwezi huu wa Desemba!
2. Betri kubwa za Panasonic (Made in Tz) zimepanda kutoka shilingi 400/- kwa betri (Novemba) hadi shilingi 450/- mwezi huu wa Desemba.
3. Balbu za umeme za kawaida zimepanda kutoka shilingi 300/-kwa balbu (mwezi Novembea) hadi shiliongi 400/- kwa balbu mwezi huu wa Desemba.
4. Bei ya Mkate mdogo wa "Super loaf" imepanda kiasi cha kutisha kutoka shilingi 500/- mwanzoni mwa mwaka hadi 550/- katikati ya mwaka na sasa mwezi huu wa Desemba imefikia shilingi 600/-!
Najua kuna threads mbili zimo humu kuhusiana na Mfumuko wa Bei moja ikiwa imeanzishwa na Invicible na nyingine ikiwa imeanzishwa na Invisible. Hata hivyo nimeona ziko very general kwa hiyo nimefikiria kuwa ni vema tukawa na Thread ya kudumu kwa jina la "MFUMUKO WA BEI MWEZI HUU" ambayo kwayo tunaweza kufanya updates kila siku/wiki/mwezi na kila baada ya nusu mwaka tufanye tathmini ili tuweze kuangalia wapi tumetoka, wapi tupo na wapi tunakwenda.
Mwezi huu (Desemba 2007) vitu vifuatavyo vimepanda bei na nimegundua baada ya kufanya shopping wiki hii. Mimi mkazi wa Arusha nimegundua haya:-
1. Bei ya Gesi (LPG) ya kilo 40 imepanda kutoka shilingi 64,000/ (mwezi Julai) hadi shilingi 73,000/- mwezi huu wa Desemba!
2. Betri kubwa za Panasonic (Made in Tz) zimepanda kutoka shilingi 400/- kwa betri (Novemba) hadi shilingi 450/- mwezi huu wa Desemba.
3. Balbu za umeme za kawaida zimepanda kutoka shilingi 300/-kwa balbu (mwezi Novembea) hadi shiliongi 400/- kwa balbu mwezi huu wa Desemba.
4. Bei ya Mkate mdogo wa "Super loaf" imepanda kiasi cha kutisha kutoka shilingi 500/- mwanzoni mwa mwaka hadi 550/- katikati ya mwaka na sasa mwezi huu wa Desemba imefikia shilingi 600/-!