mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Hili ni suala la kisera linalohitaji utashi wa kisiasa. Kwa matokeo ya darasa la saba kwa mfano, kinachotakiwa ni alama na grade kwa kila mtoto maana ndicho kigezo kinachotakiwa ili mtoto aweze kuendelea na masomo au la na ndicho kipimo cha ufaulu wa mtoto.
Kuhusu shule kupangwa ipi ya kwanza hadi ya mwisho hapo ndipo panaposhawishi udanganyifu ili shule ionekane juu na kuvutia wazazi.
Hakuna sababu ya kuzipanga shule maana madhara kwa Taifa ya kuzipanga shule ni mabaya zaidi kuliko tija yake. Badala yake grade ya wastani wa shule ndiyo itajwe badala ya wastani wa marks/alama. Waziri wa elimu tafadhari tafakari hilo.
Nawasilisha.
Kuhusu shule kupangwa ipi ya kwanza hadi ya mwisho hapo ndipo panaposhawishi udanganyifu ili shule ionekane juu na kuvutia wazazi.
Hakuna sababu ya kuzipanga shule maana madhara kwa Taifa ya kuzipanga shule ni mabaya zaidi kuliko tija yake. Badala yake grade ya wastani wa shule ndiyo itajwe badala ya wastani wa marks/alama. Waziri wa elimu tafadhari tafakari hilo.
Nawasilisha.