Utata wa usajili wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya unatuambia sheria zetu za usajili zina mapungufu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Mar 25, 2010
5,114
7,863
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?
 
Usajili, mtu anasajiliwa muda wowote, anaweza ingia mkataba muda wowote ila uhamisho ni hadi dirisha likifunguliwa
Kwanini sasa watu waanze kugombea wachezaji wakati dirisha likifunguliwa?

Na mchezaji akikubaliana na timu nyingine kabla ya dirisha kufunguliwa, anaitaarifu timu yake pia?

Timu inaweza kuzuia makubaliano hayo?
 
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?
ni hivi mchezaji akibakusha miezi 6 kumaliza mkataba wake anaruhusiwa kuingia mkataba na timu aitakayo,kakolanya alibakisha miezi 6 na alikataa kuongeza mkataba simba hivyo hakuna shida yoyote ile yeye kusaini singida,ila mechi ya waarabu atadaka tena vizuri tu
 
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?
Hakuna sheria iliyovunjwa hapo, kama mkataba wake umebakiza miezi 6+, anaruhusiwa kuongea na timu yoyote.

Hilo liko wazi
 
Anaruhusiwa kuongea na timu yoyote kwa sababu kabakiza miezi 6. Na anaruhusiwa pia kusign mkataba wa awali. Tanzania tubadilike kumpa mchezaji mkataba wa mwaka mmoja au miwili ni kujitafutia ugonjwa wa moyo kwa miaka hiii vilabu kama vinamwamini mchezaji vimpe angalau miaka3.
 
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?

Mchezaji akibakisha mkataba muda wa miezi6 ktk mkataba anakuwa huru kuongea na timu yeyote inayomuhitaji
 
Mwamedi mpumbafyuuu sana.

HUWEZI Kumpoteza Golikipa namba Moja nchi kirahisi hivyo.

Kakolanya ni No 1.
MANURA 2.
Metacha 3.

ITABIDI ATAFUTWE GOLIKIPA WA KIGENI.
 
Naona baadhi ya watu wanalalamika tu na kutokwa na mapovu, huku wakiwa hawana uelewa wowote ule kuhusu sheria za mikataba ya hao wachezaji
 
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?
Ahaaa, ama kweli mkuki kwa Nguruwe
 
Kwani anayepanga kikosi cha kucheza ni kakolanya au kocha wa simba? Kakolanya amepangwa kucheza mechi akakataa? Mbona vitu vingine mnapenda kuanzisha mada ambazo azina kichwa wala miguu, Hofu ya kumpanga kakolanya wawe nayo simba alafu lawama ziende kwa kakolanya ulishaona wapi?
 
Kabla hata ya derby ya Simba na Yanga, kulizuka utata kuhusu upangwaji wa golikipa wa Simba Beno Kakolanya katika mechi muhimu za Simba wakati Aishi Manula akiwa majeruhi. Utata huu ulikuja baada ya kusemekana kuwa Beno amesaini kuchezea Singida Big Stars (SBS) kuanzia mwishoni mwa msimu huu. Ikaonekana Beno anaweza kuisaliti Simba kwa manufaa ya SBS (na hata Yanga kutokana na ukaribu wa timu hizi mbili) katika mechi hizi za mwisho.

Dirisha dogo la usajili lilishafungwa, timu zote sasa hivi zipo katika harakati za kumaliza ligi. Inawezekana majadiliano ya uhamisho wa Beno yalianza kitambo, labda tokea dirisha dogo lililopita na labda yalikwama au yalisitishwa mpaka mkataba wake utakapoisha mwishoni mwa msimu.

Sasa kwa nini kumetokea kutomuamini Beno ghafla hivi? Sasa hivi Beno analipwa mishahara na bonus kama wachezaji wengine ila haaminiki na club hadi kupelekea kipa chaguo la 3 kucheza badala yake. Swali ni lini Beno alisaini kuchezea SBS?

Je, sheria za usajili zinasemaje pale wakala wa wachezaji au maofisa wa timu kuwasiliana na mchezaji wa timu nyingine katika kipindi ambacho siyo rasmi cha usajili kwa nia ya kumshawishi mchezaji huyo kujiunga na timu nyingine?

Maana ya madirisha ya usajili ni nini iwapo kunatoa fursa kwa wachezaji kusajiliwa katika kipindi ambacho siyo rasmi na matokeo yake kuleta mikanganyiko na sintofahamu kama hizi za sasa?
Sheria inasema kama mchezaji kabakisha miezi 6 mkataba wake kuisha wakala wa mchezaji anaruhusiwa kufanya mawasiliano na timu inayomtaka mteja wake
 
Back
Top Bottom