PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,769
- 16,017
...na ni mengi hasa, hili limepelekea Ukraine kuanzisha somo kwa shule za Msingi la jinsi ya kutambua na kutegua mabomu.Kumbuka baada ya wao kuvamia walifukia mabomu kote, hivyo kuwasukuma hata kilomita moja huwa kazi lakini tutaendelea mpaka watoke nchi ya watu. Na wanauawa sana, yaani Putin ameamua Warusi hata wafe wa mwisho ila yeye hajali.