Mfumo wa Elimu Yetu Tanzania

Tumbo Tumbo

JF-Expert Member
Sep 10, 2018
1,278
1,553
Wakuu Ila Mfumo wa nchii hii wa kutumia kiingereza kama Lugha ya kufundishia Mashuleni Kwa Maana ya Shule Ya Msingi Na Secondary umepitwa na wakati.
......
Ni sawa na kama uko Arusha unataka kwenda Moshi mjini so unaelekea Babati then Kondoa halafu Singida then unapanda hadi Mwanza unashuka Tabora.
......
Halafu Unaingia Simiyu unatokea West Kilimanjaro unashuka hadi Rombo Mashati unaenda Tanga unachukua boti hadi Zanzibar afu unaingia Dar then Chalinze.
.....
Then Unashuka Wami unaingia Segera, Korogwe, Mombo, Same, Mwanga, Njia Panda, Unakula njia ya Uchira, Kiboroloni, Majengo, Unaingia njia ya Round about ya Jcmc afu ndo uingie mjini.
.....
Wakati ni suala la kuwasha gari unaingia tengeru then Usa, Katiti, King'ori, Kia, Boma, Sadala, Machine Tools, Unakula Njia Ya Mnadani, Mferejini, Maili 6, Memorial, Chagbay then umefika mjini.
.......
Mfumo tulio nao unafanya elimu iwe ngumu mara dufu. Kwanza mtu atumie nguvu nyingi kuelewa lugha afu ndo aje aelewe alichofundishwa.
.......
Ndo maana ubunifu wenye Jukumu la Kusimamia Elimu ya Nchi Hii sjui Tuseme ni mdogo sana, Muda wa kubadilika na kutumia Kiswahili ni SASA!
.......
Samahani Wakuu Hizo Njia Nilizozitaja Zito Ziko Kaskani Mwa Tz.
 
Wakuu Ila Mfumo wa nchii hii wa kutumia kiingereza kama Lugha ya kufundishia Mashuleni Kwa Maana ya Shule Ya Msingi Na Secondary umepitwa na wakati.
......
Ni sawa na kama uko Arusha unataka kwenda Moshi mjini so unaelekea Babati then Kondoa halafu Singida then unapanda hadi Mwanza unashuka Tabora.
......
Halafu Unaingia Simiyu unatokea West Kilimanjaro unashuka hadi Rombo Mashati unaenda Tanga unachukua boti hadi Zanzibar afu unaingia Dar then Chalinze.
.....
Then Unashuka Wami unaingia Segera, Korogwe, Mombo, Same, Mwanga, Njia Panda, Unakula njia ya Uchira, Kiboroloni, Majengo, Unaingia njia ya Round about ya Jcmc afu ndo uingie mjini.
.....
Wakati ni suala la kuwasha gari unaingia tengeru then Usa, Katiti, King'ori, Kia, Boma, Sadala, Machine Tools, Unakula Njia Ya Mnadani, Mferejini, Maili 6, Memorial, Chagbay then umefika mjini.
.......
Mfumo tulio nao unafanya elimu iwe ngumu mara dufu. Kwanza mtu atumie nguvu nyingi kuelewa lugha afu ndo aje aelewe alichofundishwa.
.......
Ndo maana ubunifu wenye Jukumu la Kusimamia Elimu ya Nchi Hii sjui Tuseme ni mdogo sana, Muda wa kubadilika na kutumia Kiswahili ni SASA!
.......
Samahani Wakuu Hizo Njia Nilizozitaja Zito Ziko Kaskani Mwa Tz.
Sawa, kwahiyo ukitumia kiswahili sekondari ukianza University uanze kujifunza lugha ya kiingereza? Umeangalia wenzako duniani wanafanyaje kuhusu lugha ya kiingereza kama lugha ya kufundishia? Angalia Sweden pamoja na "kiswahili" chao, wanajua umuhimu wa kujua Kiingereza dunia hii

SWEDEN:
Upper secondary school
Gymnasium (upper secondary school or high school, years 10–12) is optional. There are eighteen regular national programmes of three years to choose from, six of which are preparatory for higher education such as university, and twelve of which are vocational.
While entrance requirements vary between programmes, all of them demand students to have passing grades in Swedish, English and mathematics from their final year of compulsory schooling.
 
Ndo maana wengine elimu ya nchi hii ilitushinda tukaamua kwenda kuisaka kwingineko huko duniani!
Tutumie Lugha Mama, Maana Nchi Nyingi Zilizoendlea Wanatumia Lugha Yao.
......
Kwa mfano ukienda Russia, Korea, German, China, Ukitaka kusoma Kule huwa wanatumia lugha yao,hivyo wewe mwanafunzi lazima usome lugha mwaka mmoja ili iweze kuendekea na masomo yetu,mi naona ni sawa na sisi tufanye hivyo maana mwaka mmoja unafaa na unatosha kabisa MTU kusoma lugha,tujaribu kurahisisha mambo so mizunguko mingi hivyo kwa kweli.
 
Mwache.

Ndo anazidi kunithibitishia kuwa hanifahamu.
Nakufahamu, kazi unayofanya huko USA haihitaji wewe kuhama kutafuta elimu nzuri. Sema wewe unatafuta maisha not because our education system ni mbovu, NO. Ungelikuwa MD unatafuta kuwa surgeon mzuri ningelikuelewa kuwa elimu ya medicine ya hapa haitakufanya uwe surgeon mzuri wa kupata say international or national recognition! Hivyo ukiondoka kwenda USA kutafuta elimu utapongezwa!
 
Nakufahamu, kazi unayofanya huko USA haihitaji wewe kuhama kutafuta elimu nzuri. Sema wewe unatafuta maisha not because our education system ni mbovu, NO. Ungelikuwa MD unatafuta kuwa surgeon mzuri ningelikuelewa kuwa elimu ya medicine ya hapa haitakufanya uwe surgeon mzuri wa kupata say international or national recognition! Hivyo ukiondoka kwenda USA kutafuta elimu utapongezwa!

Hunifahamu. Hilo nalijua 💯%.

Kudhani unanifahamu na kunifahamu ni vitu viwili tofauti.

Anayenifahamu hawezi kusema nabeba boksi literally.

Hunifahamu ndugu. Usijitie ujuaji.

Kama wanifahamu itaje kazi nayofanya....

Btw, ithibati kwamba hunifahamu ni wewe kutokujua mimi nilienda Marekani kwa minajili gani.

Nakucheka 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu Ila Mfumo wa nchii hii wa kutumia kiingereza kama Lugha ya kufundishia Mashuleni Kwa Maana ya Shule Ya Msingi Na Secondary umepitwa na wakati.
......
Ni sawa na kama uko Arusha unataka kwenda Moshi mjini so unaelekea Babati then Kondoa halafu Singida then unapanda hadi Mwanza unashuka Tabora.
......
Halafu Unaingia Simiyu unatokea West Kilimanjaro unashuka hadi Rombo Mashati unaenda Tanga unachukua boti hadi Zanzibar afu unaingia Dar then Chalinze.
.....
Then Unashuka Wami unaingia Segera, Korogwe, Mombo, Same, Mwanga, Njia Panda, Unakula njia ya Uchira, Kiboroloni, Majengo, Unaingia njia ya Round about ya Jcmc afu ndo uingie mjini.
.....
Wakati ni suala la kuwasha gari unaingia tengeru then Usa, Katiti, King'ori, Kia, Boma, Sadala, Machine Tools, Unakula Njia Ya Mnadani, Mferejini, Maili 6, Memorial, Chagbay then umefika mjini.
.......
Mfumo tulio nao unafanya elimu iwe ngumu mara dufu. Kwanza mtu atumie nguvu nyingi kuelewa lugha afu ndo aje aelewe alichofundishwa.
.......
Ndo maana ubunifu wenye Jukumu la Kusimamia Elimu ya Nchi Hii sjui Tuseme ni mdogo sana, Muda wa kubadilika na kutumia Kiswahili ni SASA!
.......
Samahani Wakuu Hizo Njia Nilizozitaja Zito Ziko Kaskani Mwa Tz.

Waliosoma zamani kwa mfumo huo huo ilikuwaje wakafanikiwa?
 
Hunifahamu. Hilo nalijua 💯%.

Kudhani unanifahamu na kunifahamu ni vitu viwili tofauti.

Anayenifahamu hawezi kusema nabeba boksi literally.

Hunifahamu ndugu. Usijitie ujuaji.

Kama wanifahamu itaje kazi nayofanya....
Unskilled manpower! "kubeba mabaksi". Your labor can be hired and fired at will!
 
Unskilled manpower! "kubeba mabaksi". Your labor can be hired and fired at will!

Ahahahaaaa!

Hunijui ndugu.

Ila najua ukisema unanifahamu unajipatia vi brownie points vya hapa na pale humu.

Ungelikuwa kweli unanifahamu usingesema nafanya manual labor.

Ungelikuwa unanifahamu ungelijua sababu iliyonipeleka Marekani.

Ungelikuwa unanifahamu kama unavyodai basi ungelijua nilienda lini huko Marekani.

Kwa kifupi, hunifahamu.
 
Achana nae maana kujifananisha na ww ni sawa na Kufananisha Kitambi Na Mimba
Afadhali Nyani, from my reading of your posts, I am prety sure huna elimu yoyote ya kuweka reasoned arguments! Itakuwa form 4or six failure au hukuwahi fika huko!
 
Afadhali Nyani, from my reading of your posts, I am prety sure huna elimu yoyote ya kuweka reasoned arguments! Itakuwa form 4or six failure au hukuwahi fika huko!

What took me to America?

Since you [falsely] claim to know me very well....
 
Wakuu Ila Mfumo wa nchii hii wa kutumia kiingereza kama Lugha ya kufundishia Mashuleni Kwa Maana ya Shule Ya Msingi Na Secondary umepitwa na wakati.
......
Ni sawa na kama uko Arusha unataka kwenda Moshi mjini so unaelekea Babati then Kondoa halafu Singida then unapanda hadi Mwanza unashuka Tabora.
......
Halafu Unaingia Simiyu unatokea West Kilimanjaro unashuka hadi Rombo Mashati unaenda Tanga unachukua boti hadi Zanzibar afu unaingia Dar then Chalinze.
.....
Then Unashuka Wami unaingia Segera, Korogwe, Mombo, Same, Mwanga, Njia Panda, Unakula njia ya Uchira, Kiboroloni, Majengo, Unaingia njia ya Round about ya Jcmc afu ndo uingie mjini.
.....
Wakati ni suala la kuwasha gari unaingia tengeru then Usa, Katiti, King'ori, Kia, Boma, Sadala, Machine Tools, Unakula Njia Ya Mnadani, Mferejini, Maili 6, Memorial, Chagbay then umefika mjini.
.......
Mfumo tulio nao unafanya elimu iwe ngumu mara dufu. Kwanza mtu atumie nguvu nyingi kuelewa lugha afu ndo aje aelewe alichofundishwa.
.......
Ndo maana ubunifu wenye Jukumu la Kusimamia Elimu ya Nchi Hii sjui Tuseme ni mdogo sana, Muda wa kubadilika na kutumia Kiswahili ni SASA!
.......
Samahani Wakuu Hizo Njia Nilizozitaja Zito Ziko Kaskani Mwa Tz.
wewe utakuwa MCHAGA
 
Back
Top Bottom