Captain mopao
Senior Member
- Feb 25, 2021
- 133
- 379
Habari ndugu na jamaa naomba niwape story fupi, kama siku tatu nyuma nilienda mjini asubuhi nikafanya shughuli yangu nikageuka wakati nipo njiani nikakutana wadada wawili wamekaa mahali mmoja wao akaniita kwa ishara nikasogea mpaka mahali walipo mmoja akaanza kuongea na mimi, akanijulisha kua wao wanakaa gairo na wamepungukiwa nauli hivo wanaomba kias chochote kiwasidie.
Muonekano wao ulikua ni wanaonekana mi wadada wa mjini wamejichubua sana alafu mmoja wao alikua kambeba mtoto km wa miaka miwili ivi, the way walivokua na mtoto wanatia huruma sana nikawasaidia pesa kias wakanishukuru nikaondoka, jana nikawa naenda tena town kwenye mitikasi yangu nikakutana nao tena walewale wapo vile vile ila safari hii niliwakuta maeneo tofauti wakaniita kwa dizaini ile ile nikawaambia sina pesa dada zangu, sikutaka kuwaumbua pale na hii kitu imetokea kwangu mara mbili.
Mwaka jana kuna mdada nikikutana nae ana nae kabeba mtoto akaniambia ametoka tabora kuja kutafuta kaz akaniambia mwanae hajala tangu asubuh nikamsaidia pesa baada km ya week,, nikakutana nae tena
Hivi ina maana maisha yamekuwa magumu kiasi watu wanabuni mbinu za kutafuta pesa dah jibu sijapata ndugu zangu ndo mambo yalivyo kwa sasa hapa Dodoma
Muonekano wao ulikua ni wanaonekana mi wadada wa mjini wamejichubua sana alafu mmoja wao alikua kambeba mtoto km wa miaka miwili ivi, the way walivokua na mtoto wanatia huruma sana nikawasaidia pesa kias wakanishukuru nikaondoka, jana nikawa naenda tena town kwenye mitikasi yangu nikakutana nao tena walewale wapo vile vile ila safari hii niliwakuta maeneo tofauti wakaniita kwa dizaini ile ile nikawaambia sina pesa dada zangu, sikutaka kuwaumbua pale na hii kitu imetokea kwangu mara mbili.
Mwaka jana kuna mdada nikikutana nae ana nae kabeba mtoto akaniambia ametoka tabora kuja kutafuta kaz akaniambia mwanae hajala tangu asubuh nikamsaidia pesa baada km ya week,, nikakutana nae tena
Hivi ina maana maisha yamekuwa magumu kiasi watu wanabuni mbinu za kutafuta pesa dah jibu sijapata ndugu zangu ndo mambo yalivyo kwa sasa hapa Dodoma