Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Kaunga,nakuheshimu sana,comment hii haiendani kabisa na reputation yako hapa jf,matusi si lazima uandike maneno ya matusi!
Najihisi umenitukana Kaunga!can u please apologize at least to me,who asks for your apology?if not to all men!
I do apologize to you Mc Tilly na wale wote wanaowarespect wanawake na kushirikiana nao katika kutengeneza familia yenye upendo na heshima!
By the way sijasoma mchango wako, nikukuta uko tofauti nita UNDO my apology to u!