Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,790
Karibuni home tufuge wote sasa
Hhh
Hhh
fuga na mbupu 😀Mi nafuga ndevu
heri wewe mie nafuga kitambi😀Mi nafuga ndevu
Sio mbaya utafutia simu hips nazo zipumzike sasaheri wewe mie nafuga kitambi😀
SureMbn kama unaishi porini masta!
Mazingira mazuri sana,,,,
Exploring nature 🔥
Hizo zipo tangu enzi na enzifuga na mbupu 😀
AMINASure ,nawaombea mpate pesa 🤣🤣🤣🤣
Sawa sawHizo zipo tangu enzi na enzi
SureAMINA
Kuna jamaa alisema.....nanukuuu ..Watu wa upinde wamekua wengi sana na wamekua na uhuru sana hata kwenye mambo ya kiume wanaleta umama..Naanza kuamini sasa .Hivi ukiwa na umeme wa bei chee na wa uhakika unaua uchumi????
🤣🤣 Pamekauka tayari wameanza kusogea karibu, Unafaidi sana. Nasikia maji ni mengi tena sasa hivi