Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 11,309
- 19,179
- Thread starter
- #21
I say wewe huelewi kabisa haya mambo! Yaani waziri Mkuu asimwajibishe mtu kwa kuwa sio yeye anamsimamia! Ni sawa na kusema Mkurugenzi Mkuu wa kampuni hawezi kumfukuza kazi mlinzi aliemkuta anaiba kwa kuwa mlinzi halipoti kwa Mkurugenzi Mkuu!Mi naona kuna tatizo kubwa zaidi kwanza kumekuwa na maagizo yanayotolewa kuwa ondoa mtu fulani pale au pale wakati huyo mtu kiutendaji haripoti kwa huyo anayeelekeza aomdolewe.
Utaratibu mtu kama utendaji wake una mapungufu yanaonekana na boss wake anayemsimamia sasa anapotokea kiongozi wa juu anaruka wasimamizi anakwenda kuondoa mtu ambaye siyo yeye anayemsimamia haieleweki ametumia utawalam gani kuona mapungufu ya mtu ambaye hasimamiwi na yeye na hivyo kuwajengea hofu watendaji wa chini bila sababu.