Mfikemo Hotel Mbeya

Mfikemo Hotel Mbeya

wakuu mtu mwenyewe aliishafika Mbeya so no more ushauri is needed.
 
huyo Mfikemo ndio ana maduka pale mwanjelwa pia

nilisikia ukiingia unakua uc.hi pale
 
Fika penge hotel ipo krb na mfikemo
Ni forrest ya zaman krb na mbeya carnival ful amani

fikia MKULO mkuu, ipo soweto pale

HILL VIEW hotel ndo habari ya mujini kwa sasa! ipo uzunguni karibu kabsa na nyumbani kwa mkuu wa mkoa.

nenda MATAMBA stand kuu.

mkulu, paradise au GR hizo zipo barabarani kabisaa

Matamba na wasukuma wote wa chunya ustaarabu zero, maeneo ya stand kuu kuna new millennium iko poa tu

Nenda Amri Kumi guest house. Full ibada hiyo.

Nenda beaco full utulivu

nenda soweto paradise hotel

hata sijui kama ataweza kuchagua...au atakuwa confused!!
 
YOOTE TISA 10 NI Mbeya Forest Motel ila ya JM kuna kituo cha mafuta. asikwambie mtu usala 100% kila nikkiiwa mbeya my fav hotel
 
kweli forest motel funga kazi maeneo ya kadege karibia na shule ya st. mary's
 
Hill View hotel IPO Uzunguni ni nzuri sana
Hill View ni nzuri, lakini haina vitu vikali. Midondoko ya pale naiona ni kawaida sana, labda for normal human consumption. Pale soweto kuna GR Hotel vyumba vinaanzia 35 na kuendelea. Midondoko ipo lakini nayo ni ya kawaida sana. Karibu na GR Hotel kuna moja inaitwa Paradise hapo hapo soweto, sema hapo vyumba vyao vinaanzia elfu 80, lakin cha kushangaza TV ni zile zenye CHOGO. Ila kuna kitu kimoja kikali pale, sema Boss wangu naye alikuwa anataka, sasa nikaona ngoja nijiweke pembeni kuepusha msongamano, yanini malumbano!
 
Kwanza Muuliza swali hajawa specific maana naona kuna watu wanakutajia Lodge wakati swali linauliza Hotel.
Kuna tofauti kwa majina yafuatayo;
HOTEL,LODGE,GUEST HOUSE,MOTELna INN.
Na kwa bahati mbaya sana watu wengi wanaomiliki hizi biashara wanaandika tu vibao pasipo kuzingatia maana ya neno linalotumika.
 
Wadau niko njiani kuelekea jijini Mbeya. Sijui nifikie hotel gani yenye usalama kwani katika kuulizia nimeelekezwa Mfikemo hotel iliyopo Mwanjelwa.

Je, ni kweli iko kwenye mitaa salama?

umebeba sweta?? sio unakuja huku una anza kutusumbua
 
Mbeya nakumbukaga palikuwa na majina ya aina fulani

1. Royal Zambezi

2. Royal Tughimbe

3. Royal Pamodzi

4. Royal Palm

Hotel za Mbeya zilikuwaga na shida moja. tuvyumba twa choo, tuduchu!!!!!!!!!!!!, utadhani chooni ni sehemu yakufanyia dhambi!. Sijui siku hizi. Nina miaka kumi sijaenda Mbeya.
 
Back
Top Bottom