Mficha uchi hazai

Mficha uchi hazai

Amina kiuno eeh!
Mpeleke jamaa hosp,msipende kutumia dawa bila vipimo na ushauri wa daktari.

Ola kama vipi apake kitunguu swaumu atapona
 
kuna dawa ya kupaka kama hujapata njoo pm ama kama upo kigoma njoo mwanga center nikupe dawa kinapona kabisa kati ya siku 14-21
 
Jamani kwema wapendwa

Msaada kuna mtu anaumwa ametoka kipele ambacho kimetokea kidonda kwenye "naniuu" kwa chini then anasema kinakuwa kama kinawasha hivi. Itakuwa ugonjwa gani? Na atumie dawa gani? View attachment 2636406
Dogo si useme tu kuwa mwenye tatizo ni wewe! Hivi pumbu za mtu mwingine umezitoa wapi hadi ukazipost humu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom