Sheria inatambua umiliki wa biashara na au pango kupitia nyaraka zifuatazo; leseni ya biashara,mmiliki wa TIN NO. mikataba ya pango na au "course of dealings" ambayo itabainisha nani alikua BOSS(mtoa maelekezo/magizo) na nani alikua mfanyakazi(mpokea maelekezo/magizo). Unaweza kunitafuta email address yangu advocatedeon@yahoo.com. Mungu ni mwema na haki yako utaipata,just be calm. Thanks.
Sheria inatambua umiliki wa biashara na au pango kupitia nyaraka zifuatazo; leseni ya biashara,mmiliki wa TIN NO. mikataba ya pango na au "course of dealings" ambayo itabainisha nani alikua BOSS(mtoa maelekezo/magizo) na nani alikua mfanyakazi(mpokea maelekezo/magizo). Unaweza kunitafuta email address yangu advocatedeon@yahoo.com. Mungu ni mwema na haki yako utaipata,just be calm. Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.