Inasikitisha SanaUsifanye masihara na umasikini mkuu
Rais aliyenyonga wafungwa wengi ni mwinyi na tangu alipotoka madarakani hakuna mfungwa aliyenyonga Tena gerezani hapa tu.Tanzania hakunaga kunyongwa wewe.
Death sentence zinatoka lakin mpaka raisi asaini hati ya kifo.
Nasikia tangu Nyerere ang'atuke hakuna raisi aliyethubutu.
Wafungwa wanakula maisha tu.
Halafu unajua ukihukumiwa kifo hufanyi kazi yoyote gerezani? Yani wewe ni kula good time mpaka upate natural death.
Acha kuamini story za vijiweni. Yule mnyongaji aliuestaafu juzi juzi hukumsikia?Tanzania hakunaga kunyongwa wewe.
Death sentence zinatoka lakin mpaka raisi asaini hati ya kifo.
Nasikia tangu Nyerere ang'atuke hakuna raisi aliyethubutu.
Wafungwa wanakula maisha tu.
Halafu unajua ukihukumiwa kifo hufanyi kazi yoyote gerezani? Yani wewe ni kula good time mpaka upate natural death.
Sio wa mtu ni watu watatuNashauri mtuhumiwa apimwe akili.
Uwezi ukawa na akili timamu ukatoa uhai wa mtu mwa ajili simu,tv na king'amuzi.
Nashauri mtuhumiwa apimwe akili.
Uwezi ukawa na akili timamu ukatoa uhai wa mtu mwa ajili simu,tv na king'amuzi.
Niliishi Dodoma miaka hiyo. Mzee Ruksa aliidhinisha adhabu hii kwa baadhi ya watuhumiwa wa mauaji.Tanzania hakunaga kunyongwa wewe.
Death sentence zinatoka lakin mpaka raisi asaini hati ya kifo.
Nasikia tangu Nyerere ang'atuke hakuna raisi aliyethubutu.
Wafungwa wanakula maisha tu.
Halafu unajua ukihukumiwa kifo hufanyi kazi yoyote gerezani? Yani wewe ni kula good time mpaka upate natural death.
Kwanini nafsi yako inashindwa kumhukumu muuaji huyu wa kinyama?Matukio kama haya ukikurupuka unaweza kumuhukumu huyu mlinzi lakini trust me KUNA MENGI NYUMA YA PAZIA KWENYE HILI TUKIO...!!! Nafsi yangu inagoma kabisa kumuhukumu huyu mlinzi pekee..
Labda ni Mmalawimiaka 34 mfanyakaz wa ndani?
ImeandikwaKwanini nafsi yako inashindwa kumhukumu muuaji huyu wa kinyama?
Ndio shida yetu watanzania ipo hapo na ndio maana matukio ya kikatili kama hili hayatakuja isha hapa Tanzania kwa hizi roho kama yako
Muuaji huyu ingependeza analazwa kwenye barabara ya lami halafu linapitishwa lile tingatinga la kusindilia barabara juu ya mwili wake likianzia miguuni na kupanda taratiiiiiibu kuelekea kiunoni na kumalizia kichwani
Hii sheria ya mpaka Raisi atie saini ndo inatuchelewesha sana tungekuwa na wabunge waerevu wangependekeza Saini ya kunyongwa ibadilike awe anasaini ata Mkuu wa Magereza wa nchi ssa jitu kama ilo likihukumiwa kunyongwa litakua halina cha kupoteza litaenda kula bata tu uko gerezani INASIKITISHA SANA
Ndugu ni kweli na mimi ni mkristo lakini inapobidi kumaliza au kupunguza tatizo nivizuri kuonyesha ukaliImeandikwa
Usihukumu utahukumiwa
Na aliwe jicho chap!Aisee.
Mimi ni muumini wa death sentence. Mtu kafanya ujinga kama huo hatuna sababu ya kuchanga na kumlipia kula chakula gerezani, anatakiwa kunyongwa.
Kamaliza kizazi cha mtu kwa ujinga wake.