Mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aua kwa bastola Arusha

Jamaa amwekwa sero mpya usiku polisi wanapishana kumpeleke whisky na mablanket.

Mkuu kesi inaenda mahakamani leo istoshe police walikua wanafanya uchunguzi kujua chanzo mana boma zima la marehemu lilikuwapo wakati wa tukio walikua wanakunywa pombe plus mbuzi.hakuna kisa au ugomvi ujinga na ulevi ndio chanzo
 
Kwa kweli Manga sasa ni janga lingine kabisa kwa jamii yetu

Miaka kama kadha iliyopita alishawahi kumkanyaga jamaa mmoja hapo makao mpya akadai hajamwona na hata sheria haijachukua mkondo wake

Na kuna tukio lingine tu alifanya na serikali ikawa kimya mpk leo,sasa na hili tena ngoja tuone watamfanya nini huyu mpunguani wa ccm diwani wa kata Mlangarini............Matias Manga mwehu mjinga kabisa!

Sio Mathias Manga. ...Aliyeua ni Felix Mmasi
 
Mkuu kesi inaenda mahakamani leo istoshe police walikua wanafanya uchunguzi kujua chanzo mana boma zima la marehemu lilikuwapo wakati wa tukio walikua wanakunywa pombe plus mbuzi.hakuna kisa au ugomvi ujinga na ulevi ndio chanzo

Mwisho wa kesi hiyo itakuwa kuua bila kukusudia itakuwa
 
Mwisho wa kesi hiyo itakuwa kuua bila kukusudia itakuwa

Na ndio mana yake maana yke baada wa2 kula mbuzi n pombe mzee mmoja wa hiyo familia akamwambia felix hii ki2 nakuona nayo inafanyaje kazi,jamaa akapiga risasi 2 juu ile anarudisha bunduki kiunoni kumbe kuna risasi imepanda kwenye chemba ndio nayo ikatoka.hii ni case ya kuua bila kukusudia pia uzembe na ulevi ndio chanzo
 
Na hiyo in mdhamana masikini ni masikini tu hatapewa haki marehemu..ni sheria ipi inayosema mtu akisherekea apige risasi juu .au ni baruti za mwaka mpya .hizi zenyewe kibali cha polisi ni muhimu.na je anazo risasi ngapi.maelezo ya risasi angesema je .ametumia wapi na sababu ipi aende kwanza magereza itakuwa fundisho kwa wengine .vinginevyo watatumaliza
 
Inaonekana Dr. Slaa anakunyima usingizi kila uendapo yu kichwani mwako kiasi cha kujitahidi kumtaja hata pasipohusika....

AlhamduliLlahi sijawahi kukoseshwa usingizi kwa chochote kile, nikitaka kulala ni popote na saa yoyote na hali kadhalika kuamka. Darja ambayo wachache sana duniani wameifikia. Soma kijana, ilmu haina mwisho.
 
AlhamduliLlahi sijawahi kukoseshwa usingizi kwa chochote kile, nikitaka kulala ni popote na saa yoyote na hali kadhalika kuamka. Darja ambayo wachache sana duniani wameifikia. Soma kijana, ilmu haina mwisho.

Wewe siyo bure, ndiyo maana unazeeka bila kupata mume
 
kwa anayefaham kinachoendelea,Felex bado yupo kituo cha polisi au ameshapelekwa mahakaman?
 
Mkuu kesi inaenda mahakamani leo istoshe police walikua wanafanya uchunguzi kujua chanzo mana boma zima la marehemu lilikuwapo wakati wa tukio walikua wanakunywa pombe plus mbuzi.hakuna kisa au ugomvi ujinga na ulevi ndio chanzo

Anakosa la kutumia siliha vibaya.
 
Anakosa la kutumia siliha vibaya.

Mkuu ni hivi hiyo familia imemuuzia mashamba mengi huko mukonoo mpka wakampa ukoo wiki iliyoisha walimuuzia shamba kubwa eka 60 sasa jmosi aliamua kuwapa shukrani wa2 wakanywa whisky n mbuzi zikachinjwa.hii case ina dhamana mana ni mauaji bila kukusudia pia familia y marehemu inajua ni bahati mbaya atakaa magereza mpka dhamana ipatikane wa2 wanakuza mambo tu.uzembe n pombe ndio zimeleta maafa yote ukimwona felix amekonda ghafla n amekiri kosa lake
 
Mkuu ni hivi hiyo familia imemuuzia mashamba mengi huko mukonoo mpka wakampa ukoo wiki iliyoisha walimuuzia shamba kubwa eka 60 sasa jmosi aliamua kuwapa shukrani wa2 wakanywa whisky n mbuzi zikachinjwa.hii case ina dhamana mana ni mauaji bila kukusudia pia familia y marehemu inajua ni bahati mbaya atakaa magereza mpka dhamana ipatikane wa2 wanakuza mambo tu.uzembe n pombe ndio zimeleta maafa yote ukimwona felix amekonda ghafla n amekiri kosa lake

Mkuu huyu jamaa amepelekwa mahakaman leo?
 
Mkuu ni hivi hiyo familia imemuuzia mashamba mengi huko mukonoo mpka wakampa ukoo wiki iliyoisha walimuuzia shamba kubwa eka 60 sasa jmosi aliamua kuwapa shukrani wa2 wakanywa whisky n mbuzi zikachinjwa.hii case ina dhamana mana ni mauaji bila kukusudia pia familia y marehemu inajua ni bahati mbaya atakaa magereza mpka dhamana ipatikane wa2 wanakuza mambo tu.uzembe n pombe ndio zimeleta maafa yote ukimwona felix amekonda ghafla n amekiri kosa lake

unaposema amekiri kosa lake, amekiri wapi?
Mahakamani au wapi!
Jaribu kufafanua mkuu ili na sisi tuelewe.
 
AlhamduliLlahi sijawahi kukoseshwa usingizi kwa chochote kile, nikitaka kulala ni popote na saa yoyote na hali kadhalika kuamka. Darja ambayo wachache sana duniani wameifikia. Soma kijana, ilmu haina mwisho.

Nisome Mara ngapi? Nikushauri wewe elimu ilokupiga kumbo....

Slaa anakunyima raha Sana....
 
Back
Top Bottom