tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,672
- 19,187
Hawez aisee atakuwa wahulo huko sisi tunasherehesha na ulabu uhuu
Felix ni mmasy ni mkibosho aliekulia arusha
Hawez aisee atakuwa wahulo huko sisi tunasherehesha na ulabu uhuu
Felix ni mmasy ni mkibosho aliekulia arusha
Felix ni mmasy ni mkibosho aliekulia arusha
Mfanyabiashara wa madini ya tanzanite Arusha, Felex Manga amempiga risasi mtoto wa kimasai. Wakati akisherehekea kuuziwa shamba na baba yake eneo la Terati siku ya Jumamosi.
Siku ya tukio mtuhumiwa na familia ya aliyemuuzia shamba walifanya sherehe ya kumkabidhi shamba, ndipo mzee mwenye shamba alipomuuliza hivi vitu mnavyovaa kiunoni vinafanyeje kazi?
Ndipo jamaa akachomoa na kupiga juu kazaa bila kujua kuna iliyobaki akamnyooshea kijana kwenye paji la uso na kumtoa uhai, jamaa mpaka muda huu yupo ndani ndugu zake wakihaha kumtoa.
Huyo Ni mdogoake Mathias nn?kweli pesa mwanaharam