Mfanyabiashara wa madini ya Tanzanite aua kwa bastola Arusha

felex mmasi mutu ya watu hiyo ni bahati mbaya tu, najua utatoka lkn pia kuna kitu kipya utakuwa umejifunza..!

Mutu yawatu heee, ndiio hivyo mmnawapambaa mnanunuliwa bia mkishalewa mnataka kusikia mlio wa bereta.
 
Mfanyabiashara wa madini ya tanzanite Arusha, Felex Manga amempiga risasi mtoto wa kimasai. Wakati akisherehekea kuuziwa shamba na baba yake eneo la Terati siku ya Jumamosi.

Siku ya tukio mtuhumiwa na familia ya aliyemuuzia shamba walifanya sherehe ya kumkabidhi shamba, ndipo mzee mwenye shamba alipomuuliza hivi vitu mnavyovaa kiunoni vinafanyeje kazi?

Ndipo jamaa akachomoa na kupiga juu kazaa bila kujua kuna iliyobaki akamnyooshea kijana kwenye paji la uso na kumtoa uhai, jamaa mpaka muda huu yupo ndani ndugu zake wakihaha kumtoa.

Huyo Ni mdogoake Mathias nn?kweli pesa mwanaharam
 
Back
Top Bottom