Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Na ana sifa ya ziada ni kadaJitu Patel?yule muhindi au?anajiweza yule wala siyo jipu.
Na ana sifa ya ziada ni kadaJitu Patel?yule muhindi au?anajiweza yule wala siyo jipu.
Duuu nyie watu nyinyimkwere akipewa 60elfu kwa wiki umuoni mpaka ziishe ndio aje job
Mingoi wacha kurusha ngumi hewaniWewe wa wapi? ninachukia mijitu inayojiona bora zaidi ya wengine.Hujachelewa endelea kujifunza ustaarabu wa kuamini binadamu wote si sawa.
Habari wana bodi.
Hii ni habari katika Gazeti LA Uhuru kwamba,
Mfanyabiashara Jitu Patel wa Dar anamiliki hek. 1080 za ardhi katika kijiji cha Mvumi Moro na Kuacha kijiji kikibakiwa na umiliki wa hek.500 tu za ardhi!...
Nahisi huyu jamaa kama si jipu basi soon atawaletea maendeleo makubwa wanakijiji hao.
Anunue na hizo 500 zilizobaki ili akusanye na kodi kutoka kwa wanakijijiKwa jitu patel hilo siyo jipu ni halali yake
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeeeeh hiyo ndio chichiyemuAnunue na hizo 500 zilizobaki ili akusanye na kodi kutoka kwa wanakijiji
Hilo la binadamu wote ni sawa ni nadharia ya kufarijiana tu, kamwe akili ya mk.w.ere na mchaga haziwezi kuwa sawa hasa ktk issue ya kupambana na umaskini. Mchaga yupo juu mno kwa akiliWewe wa wapi? ninachukia mijitu inayojiona bora zaidi ya wengine.Hujachelewa endelea kujifunza ustaarabu wa kuamini binadamu wote si sawa.
Kama ni wanaijiji hao hao ndiyo waliomuuzia, na kamilikishwa kisheria tatizo ni nini?
Du umetishawatanzania ni viumbe wagumu sana kuishi nao hasa watu wa pwani (wazaramu/ndengereko/kwere), waluguru/pogoro, wamakonde pia KANDA YA KATI-DODOMA maana kwanza ni wavivu na wanapenda starehe
Habari wana bodi.
Hii ni habari katika Gazeti LA Uhuru kwamba,
Mfanyabiashara Jitu Patel wa Dar anamiliki hek. 1080 za ardhi katika kijiji cha Mvumi Moro na Kuacha kijiji kikibakiwa na umiliki wa hek.500 tu za ardhi!...
Nahisi huyu jamaa kama si jipu basi soon atawaletea maendeleo makubwa wanakijiji hao.
Jeetu Patel,MO Dewji wanamilik vijiji vyenye mpaka ekari 10000 huko pwani
Huyo mbunge ni nani?Nadhani wangeilaumu Taasisi iliyotoa hizo hekari na serikali yake, na ndiko tunaenda,maana kule Mbalali Muwekezaji ndiye Mbunge na inasemekana siyo raia pia,sijui Sheria zetu zimeenda likizo?Au wenzetu waCCM haioni hii kama italeta shida kwenye jimbo?Je Mbunge huyu anayehodhi Mashamba ya Mpunga na ambayo yana mgogoro na wananchi wa Mbalali sina uhakika kama wananchi wa Mbalali watatendewa haki.