Tetesi: Mfanyabiashara Tanzania atapeliwa milioni mia sita na kufilisika

kwanini tu

Member
Nov 8, 2011
50
63
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki

Twaiba hakuwa na hofu nae.

Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.

Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.

Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.

Screenshot_20220119-080531.jpg
Screenshot_20220119-080558.jpg
 
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki

Twaiba hakuwa na hofu nae.

Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.

Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.

Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.

View attachment 2087549View attachment 2087550
How?
Uenda ni mkakati wa wao wote wawili against gvt.

Hii serikali ya sasa inachezewa sana na hawa wafanyabiashara
 
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki

Twaiba hakuwa na hofu nae.

Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.

Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.

Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.

View attachment 2087549View attachment 2087550

Ujinga tu
 
Sio mara mmoja, kidogo kidogo
Utter nonsense!

Yaani unapeleka kdg kdg,ya kwanza ustuki?ya pili ustuki?

Huyo ni muongo,yeye na mwenzake wame gang up ili waidanganye kitu serikali hasa taarifa za kodi.

Sisi tunawaona tu awamu hii ya wafanyabishara mnavyoingia kwenye system,soon yatajulikana mbivu na mbichi
 
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki

Twaiba hakuwa na hofu nae.

Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.

Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.

Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.

View attachment 2087549View attachment 2087550
Matapeli wakubwa siku zote uwa wanatafta jinsi ya kupga picha wakiwa na viongozi ili kuaminika.
Hata mama wa Namaingo alikuwa ana mingle na kuhakikisha anapata picha na viongozi. Ni wazuri katika manipulation.
 
Utter nonsense!

Yaani unapeleka kdg kdg,ya kwanza ustuki?ya pili ustuki?

Huyo ni muongo,yeye na mwenzake wame gang up ili waidanganye kitu serikali hasa taarifa za kodi.

Sisi tunawaona tu awamu hii ya wafanyabishara mnavyoingia kwenye system,soon yatajulikana mbivu na mbichi
Hivi lazima kila kitu mpinge nyie chadema?
 
Back
Top Bottom