kwanini tu
Member
- Nov 8, 2011
- 50
- 63
Mwanadada Twaiba classic amekiri kutapeliwa na mwanadada Khadija Naif zaidi ya Tsh milioni mia sita. Wawili hawa walikutana Instagram na kuwa marafiki
Twaiba hakuwa na hofu nae.
Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.
Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.
Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.
Twaiba hakuwa na hofu nae.
Alimuambia atamuunganisha na wawekezaji wakubwa tu maana ndo kazi zake za kuleta wawekezaji nchini pia ameolewa na mtoto wa mfalme wa Dubai.
Huyo tapeli anaonekana na viongozi wakubwa tu wa serikali.
Je, serikali inamjua huyu Dada? Inasemekana kamliza hadi Rostam kwenye makampuni ya ujenzi na wafanyabiashara wengi tu Kariakoo.