Mfanyabiashara aua mpita njia kwa risasi

Mfanyabiashara aua mpita njia kwa risasi

mswele

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
687
Reaction score
419
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala Mary Nzuki amesema wanamshikilia mfanyabiashara Lucas Sasha kwa kosa la kumuua mpita njia Mahmoud Ally kwa kumpiga risasi maeneo ya Tabata Kisukulu wakati wa sherehe za Christmas.

Kwa mujibu wa maelezo aliyoyatoa Sasha amesema kuwa kulikuwa na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanapita mbele ya nyumba yake hivyo akadhani kuwa amevamiwa na vibaka, akaamua kupiga risasi.

Kamanda Nzuki amesema mfanyabiashara huyo anamiliki bastola hiyo kihalali, kwa sasa Polisi wanamshikilia kwa ajili ya uchunguzi wa tukio hilo.



Chanzo: HABARI LEO
 
Naona polisi
wanataka kupotosha ukweli,jamaa alichukia baada ya jirani yake kupiga muziki kwa sauti kwa muda mrefu,aliyepigwa risasi ni mpita njia na ahusiki kwa namna yeyote na wapiga muziki,jamaa alikerwa na kuamua kwenda hapo kupiga risasi akiua mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa,Ni kitendo cha kinyama kabisa na cha kulaniwa.....hapa sheria ifuate mkondo
..
 
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala Mary Nzuki amesema wanamshikilia mfanyabiashara Lucas Sasha kwa kosa la kumuua mpita njia Mahmoud Ally kwa kumpiga risasi maeneo ya Tabata Kisukulu wakati wa sherehe za Christmas. Kwa mujibu wa maelezo aliyoyatoa Sasha amesema kuwa kulikuwa na kundi kubwa la vijana waliokuwa wanapita mbele ya nyumba yake hivyo akadhani kuwa amevamiwa na vibaka, akaamua kupiga risasi. Kamanda Nzuki amesema mfanyabiashara huyo anamiliki bastola hiyo kihalali, kwa sasa Polisi wanamshikilia kwa ajili ya uchunguzi wa tukio hilo
chanzo HABARI LEO
Poleni sana wafiwa,muwe na subira kipindi hiki kigumu.
 
Naona polisi
wanataka kupotosha ukweli,jamaa alichukia baada ya jirani yake kupiga muziki kwa sauti kwa muda mrefu,aliyepigwa risasi ni mpita njia na ahusiki kwa namna yeyote na wapiga muziki,jamaa alikerwa na kuamua kwenda hapo kupiga risasi akiua mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa,Ni kitendo cha kinyama kabisa na cha kulaniwa.....hapa sheria ifuate mkondo
..

Ndiyo Maana Nilisema Kuwa Hao Ndugu Wa Marehemu Wamefanya Kosa Kubwa Sana,WALITAKIWA MUDA ULE ULE WAKAMTEKETEZE MUUAJI HUYO KWA KUCHOMA MOTO JUMBA LAKE LOTE ILI SHERIA IFUATE BAADAE HUKU KILA UPANDE WAKIOMBOLEZA KUONDOKEWA NA NDUGU ZAO.Huu Upotoshwaji Unaofanywa Na Polisi Wala Wasingeumia Zaidi Kama Wangemalizana Mapema. Sasa Ndugu Yao Kauliwa,na Bado Amepewa Kesi Ya Kuwa Alikuwa Kibaka Alimvamia Shasha, Na Bado Shasha Atashinda Kesi Kwa Kuua Bila Kukusudia. HILI LIWE FUNZO KWA WOTE, MTU AKIUA USIMRUHUSU APELEKWE POLISI HASA MTU MWENYE FEDHA, CHAMSINGI MALIZANENI HAPOHAPO TU.
 
kuna wajingajinga wengi wana miliki silaha kienyeji hilo ni tatizo kubwa....
poleni wafiwa
 
Naona polisi
wanataka kupotosha ukweli,jamaa alichukia baada ya jirani yake kupiga muziki kwa sauti kwa muda mrefu,aliyepigwa risasi ni mpita njia na ahusiki kwa namna yeyote na wapiga muziki,jamaa alikerwa na kuamua kwenda hapo kupiga risasi akiua mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa,Ni kitendo cha kinyama kabisa na cha kulaniwa.....hapa sheria ifuate mkondo
..

Hapo unakuta Jaji anauliza Jee aliua kwa malice afore thou or not! na jamaa ndio kashaandaa kadifensi kake ka self defence, basi usishangae huyo tajiri kumuona kitaa baada ya miaka miwili!
 
Inaelekea wengi wanaomiliki silaha bado ni malimbukeni hasa kwenye matumizi ya hizi silaha

Ifikie wakati sheria za umiliki wa silaha zizingatie historia ya muombaji.. maana mpaka mataahira siku hizi wanakabidhiwa silaha.
 
kuna wajingajinga wengi wana miliki silaha kienyeji hilo ni tatizo kubwa....
poleni wafiwa

Kama utapeleleza utagundua ni hela ndio inayomruhusu mtu kumiliki silaha! Hawapimi ata akili za mpewa silaha! na ukifatilia vizuri utagundua hata hao watoa idhini akili zao hazipo sawasawa!!!!!!!!!!! Hii nchi inashida sana coz mpaka leo wanaamini Mali ndio akili!
 
Kheee!

Maajabu ya mwaka haya.

Kumbe hata wabongo wanauana kwa risasi?
 
Je? Kuna mtu hapa amefikiria labda huyo jamaa alishawahi kuvamiwa before ndo maana alireact hivyo!!!

2. Kwa yoyote hapa ambaye alishawahi kuvamiwa na majambazi ndiye mtu pekee anayeweza kujua huyu jamaa alifanya vile kwamakusudi gani!

3. Watanzania nia watu wa amani sana regardless mtu anahela kiasi gani, Hili sio taifa la mtu kumpiga risasi mwenzake kisa makelele, ingekua hivyo hizi kesi zingekua nyingi sanaaa maana Watanzania swala la noise pollution hatuna kabisa. Kama ni sherehe ni kelele mwanza mwisho be it unaishi obay or mbagala or hata pembeni ya IGP kelele utawala. Wa Tz watu wa amani sana
 
Naona polisi
wanataka kupotosha ukweli,jamaa alichukia baada ya jirani yake kupiga muziki kwa sauti kwa muda mrefu,aliyepigwa risasi ni mpita njia na ahusiki kwa namna yeyote na wapiga muziki,jamaa alikerwa na kuamua kwenda hapo kupiga risasi akiua mtu mmoja na mwingine kujeruhiwa,Ni kitendo cha kinyama kabisa na cha kulaniwa.....hapa sheria ifuate mkondo
..

kuna uwezekano polisi wamekula rushwa
 
Sijajua kama mtu anaweza ku compensate death, other than reacting on the spot, avamiwe na jamabz? Na kwanini asitoke na siraha ya aina nyingine? Kwanini asiangalie na akajiridhisha kabla ya ku shoot? Kiukweli Mali, fedha zinawatia watu kiburi sana,
 
Ndiyo Maana Nilisema Kuwa Hao Ndugu Wa Marehemu Wamefanya Kosa Kubwa Sana,WALITAKIWA MUDA ULE ULE WAKAMTEKETEZE MUUAJI HUYO KWA KUCHOMA MOTO JUMBA LAKE LOTE ILI SHERIA IFUATE BAADAE HUKU KILA UPANDE WAKIOMBOLEZA KUONDOKEWA NA NDUGU ZAO.Huu Upotoshwaji Unaofanywa Na Polisi Wala Wasingeumia Zaidi Kama Wangemalizana Mapema. Sasa Ndugu Yao Kauliwa,na Bado Amepewa Kesi Ya Kuwa Alikuwa Kibaka Alimvamia Shasha, Na Bado Shasha Atashinda Kesi Kwa Kuua Bila Kukusudia. HILI LIWE FUNZO KWA WOTE, MTU AKIUA USIMRUHUSU APELEKWE POLISI HASA MTU MWENYE FEDHA, CHAMSINGI MALIZANENI HAPOHAPO TU.

Kweli mkuu....falsafa ya jino kwa jino iko poa sana.....
 
Back
Top Bottom