KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,771
- 39,538
Sijajua kama mtu anaweza ku compensate death, other than reacting on the spot, avamiwe na jamabz? Na kwanini asitoke na siraha ya aina nyingine? Kwanini asiangalie na akajiridhisha kabla ya ku shoot? Kiukweli Mali, fedha zinawatia watu kiburi sana,
Mimi kuna boss mmoja muhindi alikuwa ananiletea dharau mpaka kunitukana....kuna siku moja nilimtolea uvivu ndani ya ofisi yake mpaka leo ananiheshimu kama Mungu wake..kwa kitu nilichomfanya...