Yule wa NEM ni Adam Mollel, hawa ni watu wawili tofauti.Kabla ya hii northern engineering kulikuwa na nyingine ikiitwa NEM, northern electrica---- ilikuwa njiro mtaa wa viwandani,ilikuwa ni ya mmasai akiitwa Mollel pia,ila sijui kama ni huyu Andrew george.
Pande za Don Bosco,au ulikuwa pale kwa Mzee Ndale...Yeah Tarimo alikua jirani yangu kabisaa
Don bosco kwa mbele hivi, Mzee kumbe wewe mwenyeji kulePande za Don Bosco,au ulikuwa pale kwa Mzee Ndale...
Wivuu kwa marehemu mxxiuu
Ok ok ukinipa location naweza kukufahamu kabisa.Don bosco kwa mbele hivi, Mzee kumbe wewe mwenyeji kule
Ila ni mda miaka 2015 ndio nilikua hukoOk ok ukinipa location naweza kukufahamu kabisa.
Poa poaIla ni mda miaka 2015 ndio nilikua huko
kwani umiambiwa hiyo ndo picha alipiga siku ya kufwaliki?... kwa sura yake tu jinsi anavyoonekana mwili kutepeta; yule mgeni hatari akibisha hodi hata kuitika hawezi! Mwili umetepeta sana. RIP.
Dah Mollel katangulia? Rais Lowassa atakuwa kahuzunika sana.
Rest in Paradise
JamiiForums siku hiziimegeuzwa bang la matagazo ya vifo, basi muwe mnalipia matangazo haya ya vifo kwa JamiiForums.Mfanyabiashara maarufu mkoani Arusha, Andrew Mollel ambaye alikuwa mwanzilishi na Mkurugenzi wa kampuni mbalimbali mkoani Arusha amefariki dunia na kuibua simanzi kwa wakazi wengi wa jiji hilo.
Akizungumza na Mwananchi leo, Februari 28, Mbunge wa jimbo la Monduli , Fredrick Lowassa amesema kifo cha Mollel ni pigo kubwa katika jiji la Arusha kutokana na mchango wake.
Lowassa amesema taratibu za mazishi wa Mollel zinaendelea kufanywa na wanafamilia lakini, kubwa ambalo Arusha watamkumbuka ni kuandaa michoro ya mradi mkubwa wa nyumba za PPF zilizopo eneo la Kijenge jijini hapa ambalo lilikuwa ni eneo lake.
Mollel alikuwa pia ni mkurugenzi wa kampuni ya Happy Sausages ,Kijenge Animal Products Limited, Georges Center Ltd na AGM Holding na pia mjumbe wa bodi mbali mbali hapa nchini.
Mollel pia alikuwa ni rafiki wa karibu wa Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa.
Kifo cha mfanyabiashara huyu ni mfululizo wa vifo vya wafanyabiahara kadhaa katika jiji la Arusha katika siku za karibuni.
Taarifa zaidi za kifo cha mfanyabiashara huyu zitaendelea kutolewa
View attachment 1714082
Wana alachuga poleniPole kwa wafiwa.
I remember him well.
Andrew George.
Hapana, wa Northern Electrical ni Adam Mollel, amewekeza DSM zaidi kwasasa.Hivi wa Northern Electrical ndio huyu huyu au tofauti
Sio kweli, kuna Northern Electrical na kuna Elerai Constructions co.Hapana wa Elerai Constructions, Northern Engineering ni Lema.
Swali zuri...!Ametokea Moshi sehemu gani na jina lake la Ukoo ni lipi Mkuu?
Mkuu heshima kwako. Ujumbe wako umenigusa kichiz inabid nijirekebishe. But my hands are tide there's nothing i can do stopping boosting my soul (cha Arusha)RIP mzee wetu, nina rafiki waliokuwa wamepata tenda wanasupply kwenye biashara yako.
Mkuu Nguseroh kuna siku moja taarifa ya kifo itakuwa yako, watu wako wa karibu watakuwa wanapigiwa na kuambiwa tuna habari mbaya, "Nguseroh katutoka" kwasabu wote ni njia moja tuonyeshe heshima kidogo hata kwenye nyuzi zinazomuhusu marehemu maana watu wake wa karibu wanazisoma au watazisoma. Ujumbe unaoandika unakaa hapa kwa miaka mingi sana mbeleni. Inshort, humu ni moja ya eneo la msiba. Onyesha heshima kwa kuepuka kutoa maoni ya ngono au kejeli zisizo na umuhimu kwenye eneo hili la Tanzia.