Mfanya kazi wa ndani (kulea mtoto)

Mina_n

Member
May 6, 2017
12
12
Natfuta mdada/mama wa kulea mtoto mchanga...
Awe anajielewa, na umri kuanzia miaka 20+
Ambae hana mtoto anae mlea
Mtu mzima atapewa kipaumbele
Maeneo ya kazi ni Mbezi beach, kwa zena.
Mawasiliano 0767521736.
Mshahara ninmaelewano (Mnono)
 
You are very wrong.

Usitafute mtu wa kukulelea mtoto mtandaoni.

Anza na ndugu... japokuwa they are not perfect but its safer.

Ukikosa ndugu tafuta mtu ambae CV ya ke ya kulea watoto inaeleweka na anaweza kuwa traced.

Pia state of mind iwe stable.

Na utakapompata just be good to her. We aren't perfect but be humane.
 
You are very wrong.

Usitafute mtu wa kukulelea mtoto mtandaoni.

Anza na ndugu... japokuwa they are not perfect but its safer.

Ukikosa ndugu tafuta mtu ambae CV ya ke ya kulea watoto inaeleweka na anaweza kuwa traced.

Pia state of mind iwe stable.

Na utakapompata just be good to her. We aren't perfect but be humane.

Wanawake wengi wanakosea sana apo kweny ",just be good to her" watoto wao wanakuaga mavictim wa matukio ya wadada wa kazi,
.
 
You are very wrong.

Usitafute mtu wa kukulelea mtoto mtandaoni.

Anza na ndugu... japokuwa they are not perfect but its safer.

Ukikosa ndugu tafuta mtu ambae CV ya ke ya kulea watoto inaeleweka na anaweza kuwa traced.

Pia state of mind iwe stable.

Na utakapompata just be good to her. We aren't perfect but be humane.
Akizingatia maneno haya, mwanaye atakuwa safe sana . Otherwise atakuwa ana tale risk kubwa tu.
 
Ukifanikiwa kumpata tunaomba usimnyanyase mana kati ya wafanyakazi wanaoongoza kwa kunyanyaswa ni wafanyakazi wa ndani.:):):):):)
 
Back
Top Bottom