Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,052
- 12,904
Ewura mafyta yakishuka leo kwenye soko la Dunia Tanzania inaweza kuchumua wiki 2 kushusha ama kutoshusha kabisa, utaambiwa bado kuna shehena ya zamani lakini mafuta yakipanda leo jioni tu unawaona wanapandisha bei, unajiuliza kwani shehena ya zamani yenyewe imeisha ghafla?
TCRA wakiambiwa wapandishe vifurushi dakika sifuri lakini kushusha unaambiwa mitambo haifanyi kazi ghafla namna hiyo.
TCRA na EWURA ni makampuni ambayo yamewekwa mfukoni na wafanya biashara wa mafuta na mitandao ya simu.
Mitandao ya simu inajipangia bei ya vifurushi wanavyotaka, wanajipangia makato ya simu wanavyotaka husikii seeikali ikisema jambo lolote.
Tanzania badala ya teknolojia kurahisisha maisha huku Tanzania ni kinyume chake, mitandao ya simu iko kunyonya wananchi.
Serikali isipokua makini itawekwa mfukoni na haya makampuni na tutakaoumia ni wananchi.
TCRA wakiambiwa wapandishe vifurushi dakika sifuri lakini kushusha unaambiwa mitambo haifanyi kazi ghafla namna hiyo.
TCRA na EWURA ni makampuni ambayo yamewekwa mfukoni na wafanya biashara wa mafuta na mitandao ya simu.
Mitandao ya simu inajipangia bei ya vifurushi wanavyotaka, wanajipangia makato ya simu wanavyotaka husikii seeikali ikisema jambo lolote.
Tanzania badala ya teknolojia kurahisisha maisha huku Tanzania ni kinyume chake, mitandao ya simu iko kunyonya wananchi.
Serikali isipokua makini itawekwa mfukoni na haya makampuni na tutakaoumia ni wananchi.