Yesu Kristo ndio amefanyika kuwa wa mwisho na yeye hakuja kuanzisha kabisa ila kuandalia watu njia ww muamini yeye inatosha sana usiangalie watu wanakwambiajeMaswala mengi ya imani watu huwa kama vichaa hata katika hizi dini zinazojulikana!
Jiulize tu kwa nini katika dini moja imani sio moja! ukikaa pembeni unaitwa muasi ukijikita ni imani hii napo wengine watakuambia umepotea.
Natamani Mungu angemtuma mtume mwingine wa mwisho!
Make google your friend!kwa hiyo wewe ni mzungu sana kuliko kuwa mswahili boss? wengine hatujui hiyo kulti ujue
Kafiri ni Nani.MAKAFIRI HAO ACHANENI NAO MSIWASIKILIZEE
Kusali na kuomba kwa mizimu ya mababu wa kizungu ni uzwazwa wakati tuna mababu zetu.
Nani alikwambia waafrika walikuwa hawavai? Kulikuwa na weaving industry hata kabla ya kuja mzungu. Buganda walikuwa hadi wanafanya upasuaji
Mimi ni mkristu....Ni mama mwenye akili anayetumia fursa kuwalaghai kondoo wa Bwana
yupo wrong from the beginning,Hairuhusiwi mwanamke kuwa mchungaji,muhubiri,muinjiristi wala shemasi hawajawahi kuwepo kwenye biblia,kwa lugha nyingine mwanamke haruhusiwi kusimama madhabahuni na akawafundisha wanaume,wanawake sababu yeye si kichwa,yeye alidanganywa mwanzo
hapo nimemuelewa ,ila huyo zumaridi kasahau neno la Mungu huwa halibadiriki ni lile lile jana leo na hata milele! hakuna cha ukale na usasaNadhani hujamwelewa,yeye anasema mfungamano wa kina yesu,mussa,Daudi, eliya,Ibrahim na wengineo ktk biblia ni mfungamano wao na watu wa wakati huo na Mungu wao hautuhusu sisi wa sasa na wale wote wanaoimba na kuombea kwa jina la yesu wanapotea kwa sababu yesu alikuja kwa ajili ya watu wa wakati huo si huu na ndio maana wote wanaoombewa kwa jina hilo hawafanikiwi.
Kwa hiyo unachotakiwa kufahamu ni kuwa yeye zumaridi yuko katika levo za hao akina yesu na wengineo,kwa hiyo mkitaka kuomba muombe kupitia kwake matatizo yenu yatatuliwa kwa sababu yeye ndie wa sasa hivi sio hao wengine hao washapitwa na wakati.
Na hilo la mwanamke kuwa mchungaji huwezi kulaumu si ndio usasa wenyewe,wewe unazungumzia sheria ya zamani yeye anazunhumzia ufunuo wake wa kisasasasa.
Mi ndivyo nilivyomwelewa, mzee upo.
sasa Yesu kuabudiwa wewe unaumia au shida iko wapi mpaka umuweke chungu kimoja na huyu barmaid??Unafikiri hata akija Yesu sasa lazima ataabudiwa tu hivyo mie sishangai hayo ya Zumaridi kusujudiwa,matatizo mengine yana mizizi yake.
Haina shida mkuu mbona hilo suala la kusujudiana ni kawaida tu lipo toka enzi hizo ni heshima tu.sasa Yesu kuabudiwa wewe unaumia au shida iko wapi mpaka umuweke chungu kimoja na huyu barmaid??
Ivi kweli Mwanamke tena Jimama lishangingi hilo anajiita Baba huyo huyo ni Mfalme!!!!! Aaai this is more more and more...... sijui nisemeje na mijitu imejazana kumsujudu!!!!!!Kwanza umetumia vigezo gani kuita mrembo!!!,mama mtu mzima huyo anajichubua makeup ya njano kama binzari mikono myeusii.
Halafu hata hao samaki aliowazoa na kuwa wafusi wake sijui wana akili gani??hivi majitu yakoje lakini.hapa ndio huwa naona kweli shetani kazi yake ni nyepesi mno.
Ni msagaji huyo zumaridi ndio maana hujiita Mfalme na kuitwa babaMama Mwanaume