Mfalme Zumaridi, Mama huyu ni nani na kwanini Serikali imemuacha tu?

Huyu mama huyu dah.
Kweli imani ni kitu kingine ndio maana kila siku tunakatazwa kuleta udini maana inapofika swala la imani mama mchungaji anakwambia kabisa kuwa yeye ana dushelele na waumini wanaamini kabisa kuwa yeye ni me na sio ke.
 
Maswala mengi ya imani watu huwa kama vichaa hata katika hizi dini zinazojulikana!

Jiulize tu kwa nini katika dini moja imani sio moja! ukikaa pembeni unaitwa muasi ukijikita ni imani hii napo wengine watakuambia umepotea.

Natamani Mungu angemtuma mtume mwingine wa mwisho!
Yesu Kristo ndio amefanyika kuwa wa mwisho na yeye hakuja kuanzisha kabisa ila kuandalia watu njia ww muamini yeye inatosha sana usiangalie watu wanakwambiaje
 
Ukiona watu wamejaa hivyo ujue hapo pana miujiza ambayo hufanywa na huyo mama, lakini pia utaona zaidi ya 90% ya waumini wake ni wanawake na sio wanaume..

Huyu mama alichokifanya hapa ni kupandisha shetani aka jini kama ambavyo waganga wengi hufanya, hii hali maeneo ya Pwani huwatokea sana watu na huwa ni kitu cha kawaida, Nahisi watu wengi hawajui majini ni nini kiasi cha mtu akiwanayo na kuyapandisha tayari ni nabii...
 
kwa hiyo wewe ni mzungu sana kuliko kuwa mswahili boss? wengine hatujui hiyo kulti ujue
Make google your friend!

In modern English, the term cult has usually been used in reference to a social group that is defined by its unusual religious, spiritual, or philosophical beliefs, or by its common interest in a particular personality, object or goal.
 
MAKAFIRI HAO ACHANENI NAO MSIWASIKILIZEE
Kafiri ni Nani.

Ngoja nitoe mfano.
Katika Kitabu cha Torati Mungu alimpa Musa Amri Kumi.
Mojawapo inasema
Usiue.

Amri hii inadumu miaka yote hadi wakati wa Yesu Kristo amri hii ilisisitizwa kuifuata kwa haki yote.

Baada ya Muda anatokea Muhammadi anasema amepewa Amri ya
Kuua.
Kuua mashoga
Kuua wazinzi
Kuua wagoni
Kuua wasiokuwa Waislamu.
NK.
Na tangia Muhammadi kusema hivyo kuna nchi zinatekeleza Amri hiyo.
Kama
Saudi Arabia
Somalia
Yemen
Iran
Afghanistan
NK
Sasa kwa akili tu ya kawada Nani Kafiri ?
Maana ya Kafiri ni Mpingaji

Hapa aliyepinga Amri ya Mungu kuhusu
Kuua ni Musa, Yesu au Muhammadi ?

Jibu ni Muhamadi na wafuasi wake.

Hivyo Makafiri origino Ni Waislamu, wakiongozwa na Muhammadi
Ukweli lazima usemwe Ingawa ni mchungu.
 
Rekebisha, hakuna mwanamke mfalme, bali malikia.
Kusali na kuomba kwa mizimu ya mababu wa kizungu ni uzwazwa wakati tuna mababu zetu.
Nani alikwambia waafrika walikuwa hawavai? Kulikuwa na weaving industry hata kabla ya kuja mzungu. Buganda walikuwa hadi wanafanya upasuaji
 
Nadhani hujamwelewa,yeye anasema mfungamano wa kina yesu,mussa,Daudi, eliya,Ibrahim na wengineo ktk biblia ni mfungamano wao na watu wa wakati huo na Mungu wao hautuhusu sisi wa sasa na wale wote wanaoimba na kuombea kwa jina la yesu wanapotea kwa sababu yesu alikuja kwa ajili ya watu wa wakati huo si huu na ndio maana wote wanaoombewa kwa jina hilo hawafanikiwi.
Kwa hiyo unachotakiwa kufahamu ni kuwa yeye zumaridi yuko katika levo za hao akina yesu na wengineo,kwa hiyo mkitaka kuomba muombe kupitia kwake matatizo yenu yatatuliwa kwa sababu yeye ndie wa sasa hivi sio hao wengine hao washapitwa na wakati.
Na hilo la mwanamke kuwa mchungaji huwezi kulaumu si ndio usasa wenyewe,wewe unazungumzia sheria ya zamani yeye anazunhumzia ufunuo wake wa kisasasasa.
Mi ndivyo nilivyomwelewa, mzee upo.
yupo wrong from the beginning,Hairuhusiwi mwanamke kuwa mchungaji,muhubiri,muinjiristi wala shemasi hawajawahi kuwepo kwenye biblia,kwa lugha nyingine mwanamke haruhusiwi kusimama madhabahuni na akawafundisha wanaume,wanawake sababu yeye si kichwa,yeye alidanganywa mwanzo
 
Unafikiri hata akija Yesu sasa lazima ataabudiwa tu hivyo mie sishangai hayo ya Zumaridi kusujudiwa,matatizo mengine yana mizizi yake.
 
Nadhani hujamwelewa,yeye anasema mfungamano wa kina yesu,mussa,Daudi, eliya,Ibrahim na wengineo ktk biblia ni mfungamano wao na watu wa wakati huo na Mungu wao hautuhusu sisi wa sasa na wale wote wanaoimba na kuombea kwa jina la yesu wanapotea kwa sababu yesu alikuja kwa ajili ya watu wa wakati huo si huu na ndio maana wote wanaoombewa kwa jina hilo hawafanikiwi.
Kwa hiyo unachotakiwa kufahamu ni kuwa yeye zumaridi yuko katika levo za hao akina yesu na wengineo,kwa hiyo mkitaka kuomba muombe kupitia kwake matatizo yenu yatatuliwa kwa sababu yeye ndie wa sasa hivi sio hao wengine hao washapitwa na wakati.
Na hilo la mwanamke kuwa mchungaji huwezi kulaumu si ndio usasa wenyewe,wewe unazungumzia sheria ya zamani yeye anazunhumzia ufunuo wake wa kisasasasa.
Mi ndivyo nilivyomwelewa, mzee upo.
hapo nimemuelewa ,ila huyo zumaridi kasahau neno la Mungu huwa halibadiriki ni lile lile jana leo na hata milele! hakuna cha ukale na usasa
 
Unafikiri hata akija Yesu sasa lazima ataabudiwa tu hivyo mie sishangai hayo ya Zumaridi kusujudiwa,matatizo mengine yana mizizi yake.
sasa Yesu kuabudiwa wewe unaumia au shida iko wapi mpaka umuweke chungu kimoja na huyu barmaid??
 
Zuma
FB_IMG_1574755739241.jpeg
FB_IMG_1574755749072.jpeg
 
Sio kwa Uzoba na Uzuzu huo Shetani vitu vingine mna msingizia ukute yupo zake Coco beach anakula kashata na Kahawa....
Kwanza umetumia vigezo gani kuita mrembo!!!,mama mtu mzima huyo anajichubua makeup ya njano kama binzari mikono myeusii.

Halafu hata hao samaki aliowazoa na kuwa wafusi wake sijui wana akili gani??hivi majitu yakoje lakini.hapa ndio huwa naona kweli shetani kazi yake ni nyepesi mno.
Ivi kweli Mwanamke tena Jimama lishangingi hilo anajiita Baba huyo huyo ni Mfalme!!!!! Aaai this is more more and more...... sijui nisemeje na mijitu imejazana kumsujudu!!!!!!


Embu aje Chuga uku kidogo
 
Back
Top Bottom