Jamani nawasalimia wote kwa kila mtu Na imani yake.
Kule jijini Mwanza kumeibuka mwanamama mmoja anajiita Mfalme Zumaridi na ana kanisa au sijui niseme nini, maeneo ya Nyegezi.
Yeye haamini ktk Biblia au Quran yaani ni shidaa. Na Ana watu wengi kinoma Na wafuasi wake wanamsujudu na mpaka wengine wamekua Na alama Kama ya sigda.
Ukifuatilia clips zake utashangaa ya ni upinga Kristo tupu. Wakazi wa Mwanza na waTz wote tuwe makini na huyu mtu.
Pia tazama hii:
SOMA PIA: Mchungaji 'Mfalme Zumaridi' adai kuwasiliana na Kanumba, Mama yake azungumza - JamiiForums
Kule jijini Mwanza kumeibuka mwanamama mmoja anajiita Mfalme Zumaridi na ana kanisa au sijui niseme nini, maeneo ya Nyegezi.
Yeye haamini ktk Biblia au Quran yaani ni shidaa. Na Ana watu wengi kinoma Na wafuasi wake wanamsujudu na mpaka wengine wamekua Na alama Kama ya sigda.
Ukifuatilia clips zake utashangaa ya ni upinga Kristo tupu. Wakazi wa Mwanza na waTz wote tuwe makini na huyu mtu.
Pia tazama hii:
SOMA PIA: Mchungaji 'Mfalme Zumaridi' adai kuwasiliana na Kanumba, Mama yake azungumza - JamiiForums