Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,240
- 79,797
- Thread starter
- #21
Kvp sasa kaka 🤣Yes ni deal zuri, Tatizo umeandika kwa chuki
Kvp sasa kaka 🤣Yes ni deal zuri, Tatizo umeandika kwa chuki
King'amuzi Azam tv muda wa mechi saa 12 jioniTupeni details vizuri, itaoneshwa King'amuzi gani na saa ngapi, nimuangalie Mfalme mwenye Bongo Fleva yake.
Mimi ni team Remmy Ongalla na Bob Marley watakuwepo nije?Timu sadala roho imekuuma![]()
Kawafate makaburiniMimi ni team Remmy Ongalla na Bob Marley watakuwepo nije?
👏👏👏👏Nnacho fahamu ni kwamba cake ni kubwa kila mtu atapata share yake events hazija wahi kuisha
Hahamazee kama haya hayana faida yoyote, yanafanya nimiss utawala wa mtaalam idiamin.
