Mfalme wa Morocco anawakaribisha Iftar

Mfalme wa Morocco anawakaribisha Iftar

tumechoka kurubuniwa na futari, daku, pilau, tende, halua na misikiti

especially na vinchi ambavyo hawana ambacho hatuna

Morocco ana nini ambacho Tanzania haina?

Ndio maana Nyerere alifukuza balozi wao hapa

Hakuona cha mno cha kumnyenyekea
 
tumechoka kurubuniwa na futari, daku, pilau, tende, misikiti na madrassa

especially na vinchi ambavyo hawana ambacho hatuna

Morocco ana nini ambacho Tanzania haina?

Ndio maana Nyerere alifukuza balozi wao hapa

Hakuona cha mno cha kumnyenyekea
Mkuu, Morocco hana watu wasiojulikana kama Tz,
 
Mkuu, Morocco hana watu wasiojulikana kama Tz,

kwa sababu Morocco is a full-fledged dictatorship, hakuna anaethubutu kupinga chochote, hapa kwetu tuna watekaji kwa vile kuna watu wanapinga, wanasema, wanasiasa, wanaharakati, n.k... bado tuko kwenye udikteta uchwara. Morocco is an out-and-out dictatorial monarchy

hatukuwa na sababu ya kujinyenyekeza kwa Morocco kwa malipo ya msikiti, tende, halua na uwanja wa mpira
 
Afrika! Utakuta nchi haina hata uwezo wa kutengeneza kondom kama Tanzania ila linakula kama Tembo!!
 
kwa sababu Morocco is a full-fledged dictatorship, hakuna anaethubutu kupinga chochote, hapa kwetu tuna watekaji kwa vile kuna watu wanapinga, wanasema, wanasiasa wapinzani, wanaharakati, n.k... bado tuko kwenye udikteta uchwara. Morocco is an out-and-out dictatorial monarchy


hatukuwa na sababu ya kujinyenyekeza kwa Morocco kwa malipo ya msikiti, tende, halua na uwanja wa mpira
Endelea kujidanganya na stori zenu zakiLumumba, unajua kuwa Tz inapokea dola ngapi za msaada kutoka kila mwaka?? Nafkiri kama halua na tende na kahawa unapewa ww tu apo Lumumba ili uje kusema urongo humu, lakini wakuu wenyewe huko ndio wanatafuna hela za kimorocco na sio ww, so huwezi kujua kitu
 
Endelea kujidanganya na stori zenu zakiLumumba, unajua kuwa Tz inapokea dola ngapi za msaada kutoka kila mwaka?? Nafkiri kama halua na tende na kahawa unapewa ww tu apo Lumumba ili uje kusema urongo humu, lakini wakuu wenyewe huko ndio wanatafuna hela za kimorocco na sio ww, so huwezi kujua kitu


Shilingi ngapi tunapokea from Morocco? Toka lini? Nyerere alifunga ki ubalozi chao hatuna shida na Morocco bana!

Misaada wanakula "wenyewe," as you put it, I guess you mean BAKWATA and the ruling elite. Kwa hiyo unakiri kwamba sisi Watanzania hatufaidiki na misaada ya Morocco. Tende, Halua, Kalimati, Sharubati na pilau za futari HATUTAKI

they get so ridiculous with this misaada ya futari thing

Hussein Bashe bungeni ameomba import tariff exemption during the Ramaddan for food commodities from Dubai kwa sababu kuna watu hawawezi ku afford futari. Wait a minute, Ramadhani ikiisha bei ikipanda inakuaje?

Hawezi ku afford futari, sasa mwaka mzima anakula nini? Mwafrika alivyo short sighted ajabu, anafikiria chakula cha mwezi mmoja, kashiba futari karidhika mwaka mzima
 
Kuna mskiti mkubwa sana unajengwa pale kinondoni kwa msaada wa morocco
Shilingi ngapi tunapokea from Morocco? Toka lini? Nyerere alifunga ki ubalozi chao hatuna shida na Morocco bana!

Misaada wanakula "wenyewe," as you put it, I guess you mean BAKWATA and the ruling elite. Kwa hiyo unakiri kwamba sisi Watanzania hatufaidiki na misaada ya Morocco. Tende, Halua, Kalimati, Sharubati na pilau za futari HATUTAKI

they get so ridiculous with this misaada ya futari thing

Hussein Bashe bungeni ameomba import tariff exemption during the Ramaddan for food commodities from Dubai kwa sababu kuna watu hawawezi ku afford futari. Wait a minute, Ramadhani ikiisha bei ikipanda inakuaje?

Hawezi ku afford futari, sasa mwaka mzima anakula nini? Mwafrika alivyo short sighted ajabu, anafikiria chakula cha mwezi mmoja, kashiba futari karidhika mwaka mzima
 
Back
Top Bottom