Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,792
- 120,623
Thats my girl. İ love you.
Lav u 2 hanii
Thats my girl. İ love you.
Unajiskia raha sana kunıchomesha mahindi huko kwa Waziri mkuu?
Unatupigia kelele tupo tunarara.....
Mwambie kabisa tunarara mraro wa kikojoreo changu kurenga kimwaga mkojo chako.
Aisee hilo jibu nimeshiba
Vipi tena mpendwa wangu?
Hahhahah bas tu hamna kitu
Usijali.. niPM namba yako nikujaze vijazavyo.
Usijali.. niPM namba yako nikujaze vijazavyo.
My friend be carefully na bibie shuhudia nilivyosemwa na mumewe .
Cha ajabu huyu mumewe kafumaniwa mchana huu na bint mwingine jaman
My friend be carefully na bibie shuhudia nilivyosemwa na mumewe .
Cha ajabu huyu mumewe kafumaniwa mchana huu na bint mwingine jaman
Nimeshakutumia
Nimekutumia tayari. nategemea sasa kukuona hewani bila kisingizio cha bando
Shikamoo charminglady ...huyo mfalme mbona mwoga hivyo, au anafanya kazi makumbusho nini? Haoneshi sura kabisa! Ila hii mama yeyoo ishanitanulia boxer! .....usiogope,ni elestic itarudi!
Marbaa mkuu.... Sasa akionesha sura si atapendwa jamani...
Nilitoka kuangalia Temptation Confessions of Marriage Counselor (2013) ni vyema bidhaa ikapitia kwenye tanuru kwanza ionje joto la chuma kabla haijawa directed kutumika kwa matumizi ya nyumbani, kwa kufanya hivyo utaepuka vingi!