Anaekugonga hakupatiiYoote hayo ya pgo ni kweli lakini amini nawaambia hayataondoa makosa yanayowahusu watuhumiwa nyie muoneni jaji kama vile Yuko upandw Fulani nachelea kuhisi kuwa mwisho wa kesi upande mmoja utalia na kusaga meno
Hii hapaUshindwe mwenyewe mkuuView attachment 1946396
Tii PGO bila shurutiiiTatizo lilianzia kwenye jina lao, kwamba wao ni Police force, hiyo Force ndo ipo kwenye akili zao wote kuanzia asiye na cheo hadi IGP, na sasa shughuli au kazi zao zinategemea na malezi ya mtu aliyolelewa nayo toka kwa wazazi wake au hofu yake kwa Mungu.
Wewe fikiria, ina maana kauli zao za kwamba Tii sheria bila shuruti hapa ni sheria gani hizo wanazomaanisha ili hali wao hawajui kilichomo ndani ya sheria yao kuu PGO?
Pathetic polisi...
Acha kupotosha, sheria huwa ina tafsiriwa...ata ikiandikwa kwa kiswahili, kilaza kama wewe hautoelewa.
Acha ujinga na upuuzi wako. Kuna dada kabakwa na kapigwa na simu mbili na pesa kachukuliwa. polisi wamepewa mpaka imei za zile simu na bado wakamtaka aliyebakwa atoe pesa elfu 50000 ili simu ifatiliwe katoa na mpaka Sasa hakuna kitu. Labda ukibakwa wewe wanaweza kufatilia.
Mbona mimi nipo na sina connection yoyote? Sasa kama polisi ni wahuni wanakagua nini?
Ficha ujinga ndugu, ili wazazi wasiaibike.
huifahamu PGO aisee.
Ni kweli lakini ilikuwa baada ya mikwaruzano ya kutosha na kisha kuvishinda vikwazo hivyo ambavyo polisi hujaribu kuviweka kila siku...Sijana tumeandikiwa humu mtiriko wa mahojiano na kesi kuhairishwa hadi 24/09/21 hivi.
Ni kweli lakini ilikuwa baada ya mikwaruzano ya kutosha na kisha kuvishinda vikwazo hivyo ambavyo polisi hujaribu kuviweka kila siku...
Hata hiyo tarehe 24/9/2021 tegemea kuwa watakuja na mbinu mpya ya kujaribu kuzuia watu wasijue kuwa kumbe hawa polisi hawatekelezi majukumu yao kwa kufuata PGO inavyowaongoza, lakini bahati mbaya kwao ni kuwa WATASHINDWA TU...!
Yaani, their ignorance is already completely EXPOSED....
Hawawezi kuepuka aibu ambayo wameshaipata ikiwa rank ya RPC amechemka katika kutofahamu MWONGOZO WA KAZI ZAO wanataka tutarajie nini kutoka kwa konstebo???Kuna vitabu vya kufikirisha, kimoja Ni hadithi niliyoisoma kwenye muendelezo wa vitabu vya kiada vya kufundishia kiswahili elimu ya msingi. Kuna kinyozi alipewa kazi ya kumnyoa mfalme...
Kwa kuwa simon sirro ana wish nchi yetu iwe na magaidi , subiri magaidi waje kweli halafu waanze na .....Kuna vitabu vya kufikirisha, kimoja Ni hadithi niliyoisoma kwenye muendelezo wa vitabu vya kiada vya kufundishia kiswahili elimu ya msingi. Kuna kinyozi alipewa kazi ya kumnyoa mfalme...
Wanapata tabu sana kuumbuka hadharani.. Wanatamani angalau iwe gizaniKuna vitabu vya kufikirisha, kimoja Ni hadithi niliyoisoma kwenye muendelezo wa vitabu vya kiada vya kufundishia kiswahili elimu ya msingi. Kuna kinyozi alipewa kazi ya kumnyoa mfalme. Kumbe mfalme alikuwa na masikio Kama ya punda. Siri hii ilijulikana tu na huyu kinyozi. Sharti ilikuwa Ni akivujisha tu Siri hii Basi hukumu yake ilikuwa Ni kunyongwa Hadi kifo...