Mfahamu the Green Mamba

Mfahamu the Green Mamba

Green mamba hata siyo hatari kama mtoa mada ambayo anataka kutuamininisha na thread yake , nimecheza nao sana , Ukifika machame nkuu muulizie Riri utaambiwa tabia yake ya kuwafuga hawa viumbe since Akiwa std 2 Mpaka sasa hivi kaachana nao kashakuwa mkubwaaa
kuna vinyoka vidogo vya kijani naviona sana huku pwani kwenye minazi na miarubaini usidhani ndiye green mamba..... green mamba ukitaka kumjua vizuri nenda moshi vijijini kule halafu tembelea mito ya huko uonane na nyoka mshenzi na mjanja sana green mamba.y
 
kuna vinyoka vidogo vya kijani naviona sana huku pwani kwenye minazi na miarubaini usidhani ndiye green mamba..... green mamba ukitaka kumjua vizuri nenda moshi vijijini kule halafu tembelea mito ya huko uonane na nyoka mshenzi na mjanja sana green mamba.y
Nimekulia migombani , kijijini , kwenye mianzi wanapatikana sanna, karibu na huko mtoni, nimevua samaki sana Majani ya ng'ombe nimefyela sana, Mipera, Miembe nimekwea sna so nachokizungumza nina uhakika nacho na nimefanya mkuu
 
Green mamba hata siyo hatari kama mtoa mada ambayo anataka kutuamininisha na thread yake , nimecheza nao sana , Ukifika machame nkuu muulizie Riri utaambiwa tabia yake ya kuwafuga hawa viumbe since Akiwa std 2 Mpaka sasa hivi kaachana nao kashakuwa mkubwaaa

Usipende kubisha tu mkuu, Tafiti kidogo hata Google

The eastern green mamba (Dendroaspis angusticeps) is a highly venomous snake species of the mamba genus Dendroaspis native to the coastal regions of southern East Africa. It was first described by a Scottish surgeon and zoologist Andrew Smith in 1849. The species has a slender build with bright green upperparts and yellow-green underparts. The adult female averages around 2.0 metres (6.6 ft) in length, and male is slightly smaller.
 
Ngole ni was kijani pia, lakini sio mkali na hukaa jirani na makazi ya watu. Kuna hata misemo ya kijadi Pwani, wakisema "ngole" humaanisha mtu rafiki au asiye na madhara.
Ngole ni yupi mkuu, sio huyu!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom