Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Ndo huyohuyo huwa ni mpole na hapendi kubishana na binadamu huwa anakimbia ila akizidiwa akapata upenyo akakugonga msalie mtume
Huwa tunaambiwa sumu yake haina dawa. Kama ndiye basi tumekuwa tunamwonea sana huyu nyoka.

