Echazzy
Member
- Jan 20, 2018
- 65
- 67
Ruby Bridges alizaliwa mnamo mwaka 1954 akiwa na umri wa miaka 6 alikuwa mtoto wa kwanza marekani mwenye asili ya Afrika alisoma katika shule mchanganyiko na wazungu.
Mtoto huyu aliteseka sana siku ya kwanza anaanza shule serikali kuu (federal government) nchini marekani waliamua kumlimda kila alipotembea dhidi ya wazungu watu wazima na watoto ambao walionesha nia ya wazi ya kumdhuru mtoto huyo.
Wazungu walisimama pembezoni mwa barabara kumuita mtoto Ruby ‘NIGGER’ wakimpa vitisho vya kumuua hata waliweza kutengeneza jeneza lenye mdoli mweusi ndani. Kitendo ambacho Ruby anasimulia kilimpa ndoto za kuweweseka sana usiku.
kutokana na shinikizo hilo walimu wote waliacha kazi kisa Ruby kasoro mmoja (pichani) tu ambaye ambaye alikubali kubaki kumsaidia (Wazungu wote sio wabaya).
Mwaka mzima Ruby alisoma darasa peke yake hata watoto wazungu waligoma kwenda shule kusoma na mtu mweusi.
Ruby akiwa shule hakuwa anakula chakula chochote akihofia kuwekewa sumu. Ila Ruby alisoma japo kwa tabu ikumbukwe marekani walianzisha sera ya kutoa elimu bila ubaguzi wa rangi (mchanganyiko) mnamo mwaka 1956 lakini bado weusi walio changanyika na wazungu walisoma kwa tabu sana.
hivi leo Ruby ana umri wa miaka 65 ni mwanaharakati wa haki za binadamu.
Mtoto huyu aliteseka sana siku ya kwanza anaanza shule serikali kuu (federal government) nchini marekani waliamua kumlimda kila alipotembea dhidi ya wazungu watu wazima na watoto ambao walionesha nia ya wazi ya kumdhuru mtoto huyo.
Wazungu walisimama pembezoni mwa barabara kumuita mtoto Ruby ‘NIGGER’ wakimpa vitisho vya kumuua hata waliweza kutengeneza jeneza lenye mdoli mweusi ndani. Kitendo ambacho Ruby anasimulia kilimpa ndoto za kuweweseka sana usiku.
kutokana na shinikizo hilo walimu wote waliacha kazi kisa Ruby kasoro mmoja (pichani) tu ambaye ambaye alikubali kubaki kumsaidia (Wazungu wote sio wabaya).
Mwaka mzima Ruby alisoma darasa peke yake hata watoto wazungu waligoma kwenda shule kusoma na mtu mweusi.
Ruby akiwa shule hakuwa anakula chakula chochote akihofia kuwekewa sumu. Ila Ruby alisoma japo kwa tabu ikumbukwe marekani walianzisha sera ya kutoa elimu bila ubaguzi wa rangi (mchanganyiko) mnamo mwaka 1956 lakini bado weusi walio changanyika na wazungu walisoma kwa tabu sana.
hivi leo Ruby ana umri wa miaka 65 ni mwanaharakati wa haki za binadamu.