Mfahamu Noureddine wa Genk kwa Samatta

Mfahamu Noureddine wa Genk kwa Samatta

Kasisi hadi leo anaishi hivyo, anajenga the only 5 stars hotel in Mbeya,ana ghorofa la mwanzo mwanzo kujenwa hapa Mwanjelwa. Ana pesa ndefu lakini kajishusha.....MASKINI TUNAMUITA MCHAWI,ila angekuwa mzungu tungemsifia.
Huyu Kasisi nilimuogopa anajua kazi kweli kweli si utani
 
Mbeya hotel haipo hapo ulipotaja,Mbeya hotel ipo mjini. Hiyo unayoisema ni mkulu.
Thanks umenikumbusha mbali mkuu, baada ya Mkulu Hotel kwa kupitia ukanda huohuo yaani mkono wa kulia ukienda Mwanjelwa basi kuna Hotel fulani hapo nadhani huwa ni za huyo jamaa
 
Back
Top Bottom