Kasisi hadi leo anaishi hivyo, anajenga the only 5 stars hotel in Mbeya,ana ghorofa la mwanzo mwanzo kujenwa hapa Mwanjelwa. Ana pesa ndefu lakini kajishusha.....MASKINI TUNAMUITA MCHAWI,ila angekuwa mzungu tungemsifia.Safi sana inapendeza na inatufundisha kitu fulani haswa sisi watanzania, hili suala limenikumbusha miaka fulani huko nyuma nilikutana na jamaa mmoja anaitwa KASISI huko Mwanjelwa Mbeya, aliwahi kupakua mizigo kutoka stoo baadae tukajua ndiye boss mwenyewe wakati wa malipo ndo tukagutuka.... Sasa hivi sijui yuko level zipi. Ila waliowengi tukishapata pesa tunajisahau.......
Hivi ndiye yule mwenye Mbeya Hotel mara baada ya kutoka maeneo ya Mama John ukiwa unaelekea Kabwe ?Kasisi hadi leo anaishi hivyo, anajenga the only 5 stars hotel in Mbeya,ana ghorofa la mwanzo mwanzo kujenwa hapa Mwanjelwa. Ana pesa ndefu lakini kajishusha.....MASKINI TUNAMUITA MCHAWI,ila angekuwa mzungu tungemsifia.